Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakimbizi 8000 wakwama baharini

Shirika la kimataifa la wahamiaji IOM, linasema kuwa maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladesh na Myanmar, wamekwama baharini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakwama baharini bila chakula

Kundi la wahamiaji mia tatu kutoka Mynmar, linasema kuwa limekwama baharini bila ya chakula wala maji kwa siku tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelfu ya wakimbizi wakwama Slovenia

Wahamiaji na watoto wachanga wamekesha nje kwa baridi kali na mvua katika eneo lisilomilikiwa na taifa lolote katikati mwa Croatia na Slovenia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Rohingya: 'Miili ilikuwa inarushwa baharini usiku'

Khadiza Begum, mkimbizi wa Rohingya, aliondoka Myanmar kukimbia ghasia lakini akakumbana na makubwa baharini.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: 8000 More Dar Homes to Go


Tanzania: 8000 More Dar Homes to Go
AllAfrica.com
Dar es Salaam — The Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, Mr William Lukuvi, has said that over 8,000 houses built on River Msimbazi basin in Dar es Saalam will soon be demolished. He said in a joint press conference with ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka

PIXX 3

Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).

PIXX 1

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...

 

5 years ago

Michuzi

TBS Yatoa Elimu kwa Wananchi zaidi ya 8000


Na Mwandishi WetuSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limemaliza Kampeni yake ya kutoa elimu kwa umma katika wilaya za Mpanda, Rungwe na Ludewa kuhusiana na usajili wa majengo ya chakula na vipodozi, umuhimu wa kusoma taarifa zilizopo kwenye vifungashio vya bidhaa ikiwamo muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa.
Kupitia kampeni hiyo maofisa wa shirika hilo walielimisha jamii kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na TBS.
Kampeni hiyo ya elimu kwa umma imefanyika katika wilaya hizo...

 

9 years ago

IPPmedia

HESLB: Close to 8000 loan application forms faulty


IPPmedia
HESLB: Close to 8000 loan application forms faulty
IPPmedia
Higher Education Students' Loan Board (HESLB) has established that a total of 7,788 out of 68,445 loan applicants' applications for the year 2015/2016 have been found missing some vital information. Addressing reporters at the Board's headquarters ...

 

9 years ago

Michuzi

WAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA

 Baadhi ya Wakimbizi kutoka Burundi wakipokelewa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta, wilayani Kobondo, mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka nchini humo inazidi kuongezeka siku hadi siku.Watoto wa Wakimbizi kutoka Burundi wakiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo, mkoani Kigoma ambapo wanahifadhiwa. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.



 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...

 

9 years ago

Michuzi

ZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA

 Mkuu wa kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu B iliyopo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma, Fredrick Nisajile akiongea na wakimbizi walio katika mpango wa kuhamishiwa kwenye kambi za Nduta, Mtendeli na Karago.Wakimbizi hao waliopokelewa kutoka nchini Burundi hivi karibuni kwa sasa wanahifadhiwa kwa muda katika kambi ya Nyarugusu. Wakimbizi kutoka Burundi walioko katika Kambi ya Nyarugusu wakiandaa mboga ya kisamvu kama walivyokutwa na mpiga picha wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeko katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani