TBS Yatoa Elimu kwa Wananchi zaidi ya 8000
![](https://1.bp.blogspot.com/-ETVe2cvcKMY/Xm6LT9hPjiI/AAAAAAALj04/dxIuXUEn8Z0wYwY0ftZGYedimITISk-fQCLcBGAsYHQ/s72-c/tbs_logo.gif)
Na Mwandishi WetuSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limemaliza Kampeni yake ya kutoa elimu kwa umma katika wilaya za Mpanda, Rungwe na Ludewa kuhusiana na usajili wa majengo ya chakula na vipodozi, umuhimu wa kusoma taarifa zilizopo kwenye vifungashio vya bidhaa ikiwamo muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa.
Kupitia kampeni hiyo maofisa wa shirika hilo walielimisha jamii kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na TBS.
Kampeni hiyo ya elimu kwa umma imefanyika katika wilaya hizo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s72-c/1.jpg)
TCRA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KWENYE MAONESHO YA KILIMO ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pE46eR86MoU/VcGmFBcuWhI/AAAAAAAAEk4/7v_f5zoce6g/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e7mMcxlq8gU/VcGmILBV08I/AAAAAAAAElA/sV0GPPIovLg/s640/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU ATAKA ELIMU ZAIDI YA URUTUBISHAJI WA VYAKULA ITOLEWE KWA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s200/images.jpg)
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema kazi kubwa zaidi inabidi ifanyike ili elimu ya kutosha iweze kufikishwa kwa mabilioni ya watu ambao milo yao ya kila siku haina virutubisho vya kutosha.
Ametoa kauli hiyo jana...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
TBS yatoa tahadhari kwa waagizaji magari
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s72-c/IMG-20151217-WA0033.jpg)
UTT AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s640/IMG-20151217-WA0033.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B99AiZiI5Zw/VnOI1_L0E3I/AAAAAAABluk/tIlyS_lXpYo/s640/IMG-20151217-WA0031.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0stAYn98xlw/VnOJfkKsdeI/AAAAAAABlu0/fPNPbwMbK2Y/s640/IMG-20151217-WA0026.jpg)
11 years ago
MichuziLAPF YATOA MIKOPO YA ELIMU KWA WANACHAMA WAKE
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xv998xSCcLM/Uw5Z5fhtg6I/AAAAAAAFP4E/vrgpP5_CS0M/s72-c/unnamed+(36).jpg)
NMB YASOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI KWA WAKAZI WA BARABARA YA MANDELA, yatoa msaada kwa hospitali za amana na muhimbili·
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI YA AMANI KWA WAISLAMU TANZANIA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI MAPAMBANO DHIDI YA CORON, YATOA RAI KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI ya Amani kwa Waislamu Tanzania (TIPF) kupitia Mwenyekiti wake Sadiki Godigodi imeipongeza hotuba ya Rais Dk. John Magufuli ambayo ameitoa siku za karibuni kuhusu hali halisi ya janga la ugonjwa wa Covid-19 nchini.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo ni kwamba hotuba ya Rais Magufuli imejaa matumaini hususn katika matumizi ya dawa za kujifukiza huku akiwataka wataalamu wa kitaifa na kimataifa kuhakikisha wanafanyia kazi dawa hizo za asili zilizoonesha matumaini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uta6qQr4MK0/VEyt5DGvkyI/AAAAAAABLrg/Qb_mu2Cp6wc/s72-c/IMG-20141025-WA0001.jpg)
UTT YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAKAZI WA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uta6qQr4MK0/VEyt5DGvkyI/AAAAAAABLrg/Qb_mu2Cp6wc/s1600/IMG-20141025-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xubLu3E8OAM/VEyt8wwOerI/AAAAAAABLrs/_vAkJ0X3z-c/s1600/IMG-20141025-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oPjTFq8am_A/VEyt835OzbI/AAAAAAABLrw/WSmYh7OM99k/s1600/IMG-20141025-WA0003-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_xFZAwsgd68/VEyuoys3hDI/AAAAAAABLsA/e2zlvSE7R48/s1600/IMG-20141025-WA0006-1.jpg)