Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji 600 waokolewa na wavuvi Indonesia

Zaidi ya wahamiaji mia sita wamewasili katika mkoa wa Aceh nchini Indonesia baada ya kuokolewa na wavuvi mashua yao ilipokuwa ikizama.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 2000 waokolewa baharini

Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa

Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya

Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.

 

10 years ago

GPL

WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA

Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji haramu waokolewa nchini Sudan

Mamia ya wahamiaji haramu wamewasili katika mji wa kazkazni mwa Sudan,Dongola baada ya kuokolewa katika jangwa.

 

9 years ago

GPL

WAHAMIAJI 2000 WAOKOLEWA KATIKA BAHARI YA MEDITERRANIAN

Wahamiaji wakiwa kwenye boti ndogo kabla ya kuokolewa. Walinzi wa pwani ya Italia wameongoza shughuli ya kuwaokoa wahamiaji 2,000 ambao walituma ishara ya kuwa taabani kwenye mashua nje ya pwani ya Libya. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Bahari baina ya Libya na Italia, ndio njia inayotumiwa kwa muda mrefu na wakimbizi kutoka Afrika na Mashariki ya Kati, ili kuingia Ulaya.Umoja wa Mataifa umesema kuwa bahari ya Mediterranian...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wavuvi waagizwa kutowasaidia wahamiaji

Wavuvi kutoka Indonesia wamesema kuwa wameamriwa na Serikali kuwa wasiwalete wahamiaji wanaopatikana wakielea kwenye vyombo baharini

 

11 years ago

BBCSwahili

50 waokolewa kutoka Antarctic

Angalau watafiti 50 waliokuwa wameabiri meli ya Urusi iliyokwama katika bahari ya Antarctic hatimaye wameokolewa.

 

9 years ago

Habarileo

Wafukiwa na kifusi siku 41, waokolewa

WATU watano ambao ni wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, wameokolewa na wenzao baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo na kukaa kwa muda wa siku 41.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani