Wahamiaji 600 waokolewa na wavuvi Indonesia
Zaidi ya wahamiaji mia sita wamewasili katika mkoa wa Aceh nchini Indonesia baada ya kuokolewa na wavuvi mashua yao ilipokuwa ikizama.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Wahamiaji 2000 waokolewa baharini
Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya
10 years ago
BBCSwahili20 May
Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa
Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya
Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzecIgTq01SXaXikG2BQZ8nAwu5qVVjkOtNE6z2YG9Mmetv4QYsV-qWkX6cK4OeV-oGHIlxtdcrdzhJZKijdYM9/1.jpg?width=650)
WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA
Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…
11 years ago
BBCSwahili04 May
Wahamiaji haramu waokolewa nchini Sudan
Mamia ya wahamiaji haramu wamewasili katika mji wa kazkazni mwa Sudan,Dongola baada ya kuokolewa katika jangwa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AY5n-P37pIWNIEX1GdRWTmrZ00-LUs16X3bkJsRtbFOh*JoeZr9iDuaVnTdAvv0eOkJ94UaAdw3PCw-y67CAk2jpbGWJIkBc/01.jpg?width=650)
WAHAMIAJI 2000 WAOKOLEWA KATIKA BAHARI YA MEDITERRANIAN
Wahamiaji wakiwa kwenye boti ndogo kabla ya kuokolewa. Walinzi wa pwani ya Italia wameongoza shughuli ya kuwaokoa wahamiaji 2,000 ambao walituma ishara ya kuwa taabani kwenye mashua nje ya pwani ya Libya. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Bahari baina ya Libya na Italia, ndio njia inayotumiwa kwa muda mrefu na wakimbizi kutoka Afrika na Mashariki ya Kati, ili kuingia Ulaya.Umoja wa Mataifa umesema kuwa bahari ya Mediterranian...
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wavuvi waagizwa kutowasaidia wahamiaji
Wavuvi kutoka Indonesia wamesema kuwa wameamriwa na Serikali kuwa wasiwalete wahamiaji wanaopatikana wakielea kwenye vyombo baharini
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
50 waokolewa kutoka Antarctic
Angalau watafiti 50 waliokuwa wameabiri meli ya Urusi iliyokwama katika bahari ya Antarctic hatimaye wameokolewa.
9 years ago
Habarileo17 Nov
Wafukiwa na kifusi siku 41, waokolewa
WATU watano ambao ni wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, wameokolewa na wenzao baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo na kukaa kwa muda wa siku 41.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania