Sumatra kukamata wasio na leseni
>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imepanga kuanza Operesheni Maalumu ya kukamata magari ya abiria yasiyokuwa na leseni kwa Kanda ya Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
SUMATRA yaendesha operesheni kukamata bajaj
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefanya operesheni ya kukamata bajaj zinazoingia katikakati ya Jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Leseni...
11 years ago
Habarileo27 Jan
'Wasio na leseni marufuku kuuziwa kemikali'
WAKALA wa maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepiga marufuku uuzaji wa kemikali kwa mtu yeyote asiye na leseni kutoka kwake. Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali nchini, Sebanito Mtega alisema hatua hiyo inatokana na kukamilika kwa kazi ya kusajili wauzaji na watumiaji wa kemikali nchini, kazi iliyokamilika Novemba 30 mwaka jana.
11 years ago
Michuzi17 Jun
SUMATRA YAWATAKA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KUKAMATA MABASI YANAYOSIMAMA KUCHIMBA DAWA OVYO PORINI
..................................................... ASKARI wa usalama barabarani nchini wamepewa rungu la kuwakamata madereva wa mabasi ya abiria na magari mengine ambayo yatapatikana...
10 years ago
Michuzi30 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s72-c/12.jpg)
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s1600/12.jpg)
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
10 years ago
Habarileo02 Jul
JK aomba ushirikiano kukamata wauaji wa Rwanda
RAIS Jakaya Kikwete amezitaka nchi zote duniani zenye taarifa za watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambao hawajakamatwa, kutoa ushirikiano ili watu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya kimataifa vya sheria.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Trafiki afa baada ya kukamata daladala
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Huyu mwizi atufunze kukamata wezi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jmb0wmjh1KI/XladdFLquwI/AAAAAAAEF0s/nftzfVw2lqAGlfCUesg5GJMXdyTZM9WTgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC01532-1024x577.jpg)
KATAVI YAFANIKIWA KUKAMATA SILAHA HARAMU 50
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jmb0wmjh1KI/XladdFLquwI/AAAAAAAEF0s/nftzfVw2lqAGlfCUesg5GJMXdyTZM9WTgCLcBGAsYHQ/s640/DSC01532-1024x577.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC01524AA-1024x577.jpg)
……………………………………………………………Serikali ya Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi kikosi cha 202 na 401 wamefanikiwa kukamata Bunduki 50 zikiwemo 13 za kivita na tatu zilizotengenezewa nchi za ulaya aina ya G3 kufutia masako uliofanywa kwa muda wa siku 21 katika...