Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumatra kukamata wasio na leseni

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imepanga kuanza Operesheni Maalumu ya kukamata magari ya abiria yasiyokuwa na leseni kwa Kanda ya Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA yaendesha operesheni kukamata bajaj

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefanya operesheni ya kukamata bajaj  zinazoingia katikakati ya Jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Leseni...

 

11 years ago

Habarileo

'Wasio na leseni marufuku kuuziwa kemikali'

WAKALA wa maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepiga marufuku uuzaji wa kemikali kwa mtu yeyote asiye na leseni kutoka kwake. Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali nchini, Sebanito Mtega alisema hatua hiyo inatokana na kukamilika kwa kazi ya kusajili wauzaji na watumiaji wa kemikali nchini, kazi iliyokamilika Novemba 30 mwaka jana.

 

11 years ago

Michuzi

SUMATRA YAWATAKA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KUKAMATA MABASI YANAYOSIMAMA KUCHIMBA DAWA OVYO PORINI

          Mwanasheria mkuu  wa  SUMATRA Bi Leticia Mutaki  Bw  Mpina wa Sumatra  makao  makuu  akifafanua  jambo wakati wa semina elekezi  kwa askari wa usalama barabarani Watenda kazi  wa Sumatra  Iringa  wakiwa na mwanahabari wa TBC Taifa  Iren Mwakalinga  kulia  wakifuatilia  semina  hiyo.
..................................................... ASKARI  wa usalama barabarani  nchini  wamepewa  rungu  la kuwakamata  madereva  wa mabasi ya abiria na magari mengine  ambayo yatapatikana...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Na   Bashir     Yakub
Katika  makala  iliyopita  nilisema  kuwa  vijana  wengi   wajasiriamali  wanaofungua   biashara  za  makampuni   wanao  uwezo  mkubwa   wa kufika mbali   isipokuwa  tatizo  lao  ni  taarifa za  mambo  mbalimbali   kuhusu uendeshaji  wa  kampuni   hizo. 
 Mambo  ya uendeshaji   wa  kampuni  ni  mepesi sana  na  yanawezwa   na  mtu  yeyote isiopokuwa   tatizo   ni   taarifa   na  elimu ya  namna  ya  uendeshaji  kisheria   ili   kampuni   ionekane  ni kampuni.  Nilieleza...

 

10 years ago

Habarileo

JK aomba ushirikiano kukamata wauaji wa Rwanda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amezitaka nchi zote duniani zenye taarifa za watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambao hawajakamatwa, kutoa ushirikiano ili watu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya kimataifa vya sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki afa baada ya kukamata daladala

Ofisa wa polisi mwenye cheo cha Koplo, Wilson Mwakipesile wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya daladala alilokuwa amelikamata.

 

10 years ago

Mwananchi

Huyu mwizi atufunze kukamata wezi

Niwe mkweli; nilichukia sana kwa wezi na matapeli kupachikwa a.k.a. ya “wasanii”. Niliona wazi jinsi mbunifu mwenye uwezo wa kutafsiri ujumbe unaotoka kwenye ubongo hata ukasomeka na watu wa rika zote, anavyopewa hadhi sawa na mjinga asiyejua kutafuta riziki kwa njia halali. Ni tusi kubwa lisilomithilika kwa lugha yoyote duniani, hata akhera!

 

5 years ago

Michuzi

KATAVI YAFANIKIWA KUKAMATA SILAHA HARAMU 50

Kamanda wa operesheni ya safisha Katumba 2020; kanali Evance Mallasa akionyesha moja ya silaha zilizokamtwa Mzigo wa silaha zilizokamatwa katika makazi ya mishamo na katumba wanapoishi raia wapya wa Tanzania wenye asili ya Burundi 
……………………………………………………………Serikali ya Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi kikosi cha 202 na 401 wamefanikiwa kukamata Bunduki 50 zikiwemo 13 za kivita na tatu zilizotengenezewa nchi za ulaya aina ya G3 kufutia masako uliofanywa kwa muda wa siku 21 katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani