Mtoto mgonjwa anusurika kifo kwa kipigo cha mfanyakazi
MTOTO wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha huko Uganda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxGcTy-9hUVyF38Ip4r5yQ54hk9vqx4hwI7cv1o42e0xA5FacLLe0eanZULbhRDHdE-yQdKgJ5LrkVsCIliF0NR/kifo.jpg?width=650)
KIFO TATA! ALIYEDAIWA KUUAWA KWA KIPIGO CHA POLISI, UKWELI WAJULIKANA
Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
KIFO cha mfanyabiashara aliyeshikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, Liberatus Damiani Temu (55) kilichodaiwa kilitokana na kipigo kutoka kwa askari wa kituo hicho sasa ukweli umejulikana. Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu, Liberatus Damiani Temu (55) anayedaiwa kufariki kiutata.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa...
10 years ago
GPLANUSURIKA KIPIGO KUTOKA KWA WANANCHI
Mtuhumiwa (mwenye shati nyeusi) akiwa amedhibitiwa na baadhi ya wananchi. JAMAA mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi maeneo ya Morocco, jijini Dar es Salaam , kwa tuhuma za utapeli. (Habari/Picha: Na Gabriel…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k3CDBxyqodM/XoLma4Wrb2I/AAAAAAALlpo/YurqeqLopbMt-r2bOdOEUuU8fK_YC0EuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1b7931d8-0454-420c-900b-f16270d2f8d8.jpg)
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona
Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.
11 years ago
Habarileo23 Jul
Polisi Dodoma wachunguza kifo cha mfanyakazi wa ndani
MSICHANA aliyekuwa akifanya kazi za ndani, Safela Andrew (18) amekutwa amekufa katika nyumba isiyotumika mjini hapa na Polisi wanafanya uchunguzi wa kifo hicho.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Jela kwa kifo cha ‘mtoto wa boksi’
Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, imewahukumu watu wawili kutumikia kifungo cha miaka 15 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumuua bila ya kukusudia Nasrah Mvungi maarufu kama ‘mtoto wa boksi’ wakati akiwa na umri wa miaka minne.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c*Y5MK2uN0mXICkOolo1WCXw1-L1G7gYGV6Vg4t*h4VGvEQxFAuJYQBNmCFz4YLrOJrgB*DNccAEQAzoCfzF5V/001.jpg?width=650)
UONGOZI WA AZANIA BENKI UNATANGAZA KIFO CHA MFANYAKAZI WAKE,LILIAN PEPPI GONDWE
Marehemu Lilian Peppi Gondwe. UONGOZI wa Azania Benki unatangaza kifo cha Mfanyakazi wake,Lilian Peppi Gondwe kilichotokea
usiku wa kuamkia leoJumatatu Mei 5 katika hosptali ya Arusha Medical Center ya jijini Arusha alipokuwa akipatiwa matibabu ya Saratani. Mipangoya Mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu eneo la Kimandolu jijini Arusha ambapo mazishi yanatarajia kufanyika Alhamis Mei 8 mwaka huu katika makaburi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s72-c/02.jpg)
NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s1600/02.jpg)
Wako watu wengi wameathirika kutokana na matendo yanayotokana na uzembe,kutojali au makusudi ya madaktari. Wapo waliopata vilema vya muda kutokana na uzembe huo, wapo waliopata vilema vya maisha na wapo waliouliwa na madaktari hawa hawa.
Ajabu ni kuwa ukifanya tathmini ya haraka utaona kuwa watu wote waliopata madhila kutoka kwa madaktari huhusisha madaktari wa serikali na katika hospitali za serikali. Si...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania