KIFO TATA! ALIYEDAIWA KUUAWA KWA KIPIGO CHA POLISI, UKWELI WAJULIKANA

Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ KIFO cha mfanyabiashara aliyeshikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, Liberatus Damiani Temu (55) kilichodaiwa kilitokana na kipigo kutoka kwa askari wa kituo hicho sasa ukweli umejulikana. Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu, Liberatus Damiani Temu (55) anayedaiwa kufariki kiutata. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Sep
Uchunguzi kifo cha aliyedaiwa kupigwa na polisi wakwama
10 years ago
Habarileo23 Nov
Mtoto mgonjwa anusurika kifo kwa kipigo cha mfanyakazi
MTOTO wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha huko Uganda.
10 years ago
Vijimambo
LULU AFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM KUFUATIA KIFO CHA MTU ALIYEDAIWA KUWA MPENZI WAKE

Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo...
10 years ago
GPL
MASWALI 10 TATA KIFO CHA MTIKILA!
10 years ago
GPL
VIBAKA WANUSURIKA KUUAWA KWA KIPIGO JIJINI MWANZA LEO
11 years ago
GPL
UKWELI KIFO CHA DENTI CHUO KIKUU
11 years ago
GPL
KESI YA KIFO CHA KANUMBA... LULU AANIKA UKWELI
10 years ago
GPLSAKATA LA JARIBIO LA KUUAWA, DR. SLAA ATINGA KITUO CHA POLISI