Uchunguzi kifo cha aliyedaiwa kupigwa na polisi wakwama
Uchunguzi wa mwili wa marehemu Liberatus Matemu(55), aliyefia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akidaiwa kupigwa na askari polisi wa Kituo cha Stakishari umeshindwa kufanyika jana baada ya kutokea utata wa nani anatakiwa kulipa gharama za matibabu Sh260,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxGcTy-9hUVyF38Ip4r5yQ54hk9vqx4hwI7cv1o42e0xA5FacLLe0eanZULbhRDHdE-yQdKgJ5LrkVsCIliF0NR/kifo.jpg?width=650)
KIFO TATA! ALIYEDAIWA KUUAWA KWA KIPIGO CHA POLISI, UKWELI WAJULIKANA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s72-c/lulu-pic.jpg)
LULU AFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM KUFUATIA KIFO CHA MTU ALIYEDAIWA KUWA MPENZI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s1600/lulu-pic.jpg)
Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Uchunguzi kifo cha Monson kuanza Mombasa
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Kifo cha George Floyd: Uchunguzi binafsi wabaini kuwa alikufa kwa kukosa hewa
9 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi yaeleza sababu kifo cha Mtikila
![Mchungaji Christopher Mtikila](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899050/highRes/1137706/-/maxw/600/-/ipk62u/-/Mtikilaa.jpg)
Mchungaji Mtikila alifariki dunia juzi alfajiri baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam, likiwa katika mwendo mkali, kuacha njia na kupinduka. Alirushwa nje kupitia kioo cha mbele kutokana na kutofunga mkanda.
Katika ajali...
10 years ago
Habarileo28 Oct
Polisi wachunguza kifo cha mfanyabiashara Arusha
KAMANDA wa Polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema mfanyabiashara wa nyumba za muda za wageni wa kitalii Bush Camp, Timoth Mroki (36) alijiua kwa kujipiga risasi kifuani kwa kutumia bastola yake aina ya KEL –TEC, yenye namba za usajili HCB21.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Christopher-Mtikila.jpg)
TAARIFA YA POLISI KUHUSU KIFO CHA MCHUNGAJI MTIKILA
11 years ago
Habarileo23 Jul
Polisi Dodoma wachunguza kifo cha mfanyakazi wa ndani
MSICHANA aliyekuwa akifanya kazi za ndani, Safela Andrew (18) amekutwa amekufa katika nyumba isiyotumika mjini hapa na Polisi wanafanya uchunguzi wa kifo hicho.