Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchunguzi kifo cha Monson kuanza Mombasa

Uchunguzi kuhusu kiini cha kifo cha Mwingereza Alexander Monson unatarajiwa kuanza Jumatatu Mombasa,Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi kifo cha aliyedaiwa kupigwa na polisi wakwama

Uchunguzi wa mwili wa marehemu Liberatus Matemu(55), aliyefia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akidaiwa kupigwa na askari polisi wa Kituo cha Stakishari umeshindwa kufanyika jana baada ya kutokea utata wa nani anatakiwa kulipa gharama za matibabu Sh260,000.

 

10 years ago

CloudsFM

KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI

Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: Uchunguzi binafsi wabaini kuwa alikufa kwa kukosa hewa

George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alifariki dunia kwasababu ya ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi operesheni ya ujangili kuanza

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya pili ya ziara yake katika Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa operesheni hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wa kifo wakamilika

Hatimaye uchunguzi wa mwili wa marehemu Liberatus Matemu (55) umefanyika jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) baada ya Serikali kulipa Sh260,000 kwa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (Moi), ikiwa ni gharama za matibabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchunguzi wa moyo kuanza leo Dar

UCHUNGUZI wa maradhi ya moyo bure unaanza jijini Dar es Salaam leo ambako watoto 100 watakaobainika kuwa na maradhi hayo watapelekwa nchini India kwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

9 years ago

StarTV

Tanzania kuanza uchunguzi wa upotevu wa sh. bilioni 13dhidi ya Stanbic

Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza uchunguzi dhidi ya Benki ya Stanbic ya Tanzania na wahusika wa kashfa ya upotevu wa zaidi ya shilingi Bilioni 13 zilizoongezeka kama ada ya benki hiyo ya kukusanya fedha kutoka benki mbalimbali ukiwa ni mkopo ambao Serikali ya Tanzania ilikuwa ikiuhitaji wa Dola Milioni 600 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Fedha hizo ambazo ni sawa na shilingi Trilioni 1.3 zilikuwa ni mkopo kwa ajili ya miradi hiyo kwa mwaka wa fedha 2012/13 ambapo iliitumia benki hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Gharama Kituo cha Mabasi cha Kange kufanyiwa uchunguzi

>Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah amesema uchunguzi wa gharama zilizotumika kujenga kituo kipya cha mabasi cha Kange jijini Tanga, utakamilika kwa siku 14 kuanzia sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani