Tanzania kuanza uchunguzi wa upotevu wa sh. bilioni 13dhidi ya Stanbic
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza uchunguzi dhidi ya Benki ya Stanbic ya Tanzania na wahusika wa kashfa ya upotevu wa zaidi ya shilingi Bilioni 13 zilizoongezeka kama ada ya benki hiyo ya kukusanya fedha kutoka benki mbalimbali ukiwa ni mkopo ambao Serikali ya Tanzania ilikuwa ikiuhitaji wa Dola Milioni 600 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Fedha hizo ambazo ni sawa na shilingi Trilioni 1.3 zilikuwa ni mkopo kwa ajili ya miradi hiyo kwa mwaka wa fedha 2012/13 ambapo iliitumia benki hiyo...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboSTANBIC TANZANIA YAISAIDIA PTA KUWEKEZA BILIONI 32 SOKO LA HISA DSM
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s72-c/vodacom.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s640/vodacom.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Uchunguzi operesheni ya ujangili kuanza
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Uchunguzi wa moyo kuanza leo Dar
UCHUNGUZI wa maradhi ya moyo bure unaanza jijini Dar es Salaam leo ambako watoto 100 watakaobainika kuwa na maradhi hayo watapelekwa nchini India kwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Uchunguzi kifo cha Monson kuanza Mombasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s72-c/MAT%2B2.jpg)
BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s640/MAT%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baSezXflmy4/XvBrE-tZeNI/AAAAAAALu3I/5L5VsrrqQw87hI3wa9x6KAUTQ0tmWSWzACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B9.32.34%2BAM.jpeg)
SERIKALI YAJENGA MAABARA YA KISASA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU YA KUAMBUKIZWA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI TISA MKOANI KILIMANJARO
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejenga Maabara ya Kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ya binadamu ya kuambukiza yenye thamani ya shilingi Bilion tisa katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara hiyo ikiwa inaelekea kukamilika ili kuanza kutoa huduma za uchunguzi wa...
9 years ago
Habarileo11 Oct
Walimu kuanza kulipwa bilioni 1.7/-
SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.