TAARIFA YA POLISI KUHUSU KIFO CHA MCHUNGAJI MTIKILA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Christopher-Mtikila.jpg)
Marehemu Christopher Mtikila enzi za uhai wake. Mnamo tarehe 04/10/2015 majira ya saa 05:45hrs huko Msolwa Kata ya Bwilingu barabara kuu ya Dar es Salaam – Morogoro, Wilaya ya Ki-Polisi Chalinze, Mkoa wa Pwani. Gari No. T.189 AGM aina ya Toyota Corolla likiendeshwa na George Steven Ponera miaka 31, mkazi wa Mbezi Mwisho Dar es Salaam liliacha barabara kisha kupinduka na kusababisha kifo cha Christopher Mtikila miaka 62,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
JK aomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi na maombolezo kumlilia Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani), ambaye alipoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea alfajiri ya leo, Jumapili, Oktoba 4, 2015, katika Kijiji cha Msolwa, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Katika salamu zake za rambirambi kwa Chama cha DP, Rais Kikwete amesema: “ Nimepokea kwa huzuni kubwa taarifa...
9 years ago
VijimamboBARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA KIFO CHA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sl485ffxMkw/VhLrp67HWKI/AAAAAAAH9PE/HUtNrMbZiSY/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Baraza la Vyama vya Siasa nchini latuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mchungaji Mtikila
![](http://2.bp.blogspot.com/-sl485ffxMkw/VhLrp67HWKI/AAAAAAAH9PE/HUtNrMbZiSY/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi yaeleza sababu kifo cha Mtikila
![Mchungaji Christopher Mtikila](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899050/highRes/1137706/-/maxw/600/-/ipk62u/-/Mtikilaa.jpg)
Mchungaji Mtikila alifariki dunia juzi alfajiri baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam, likiwa katika mwendo mkali, kuacha njia na kupinduka. Alirushwa nje kupitia kioo cha mbele kutokana na kutofunga mkanda.
Katika ajali...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Kingunge kakurupuka, Polisi nao wamekurupuka kifo cha Mtikila
HATIMAYE tumebakiwa na takriban wiki mbili tu kabla ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika hapo Ok
Evarist Chahali
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Q73WDuzNqy0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AKwga6JRAgk/Xp1zkW_0sMI/AAAAAAALndM/WwKtkUAxN-8go2bGQoOEuS21iGo4dL0wgCLcBGAsYHQ/s72-c/73ad0be9-854a-4baf-ab29-0a510d62b295.jpg)
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Kifo cha George Floyd: Tunafahamu nini kuhusu maafisa 4 wa polisi waliohusika?
9 years ago
MichuziMWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa
![](http://4.bp.blogspot.com/-JfsniHqQuLE/VhaUgp0uifI/AAAAAAACBVo/YW1k6sEm_rw/s640/20151008_141201.jpg)
Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-X4doVtKLdCE/VhaW-wOj85I/AAAAAAACBWI/czbEaHjylxk/s640/20151008_141219.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KnS_ehTggc0/Vhacv89XSdI/AAAAAAACBWk/lqxuJWLX6Pw/s640/20151008_141335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LpFSxClOsTo/Vhadxin7m5I/AAAAAAACBWs/I4IcjSo1KtQ/s640/20151008_151006.jpg)