Polisi Dodoma wachunguza kifo cha mfanyakazi wa ndani
MSICHANA aliyekuwa akifanya kazi za ndani, Safela Andrew (18) amekutwa amekufa katika nyumba isiyotumika mjini hapa na Polisi wanafanya uchunguzi wa kifo hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Oct
Polisi wachunguza kifo cha mfanyabiashara Arusha
KAMANDA wa Polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema mfanyabiashara wa nyumba za muda za wageni wa kitalii Bush Camp, Timoth Mroki (36) alijiua kwa kujipiga risasi kifuani kwa kutumia bastola yake aina ya KEL –TEC, yenye namba za usajili HCB21.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s72-c/IMG_1612.jpg)
Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s1600/IMG_1612.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Nov
Mtoto mgonjwa anusurika kifo kwa kipigo cha mfanyakazi
MTOTO wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha huko Uganda.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c*Y5MK2uN0mXICkOolo1WCXw1-L1G7gYGV6Vg4t*h4VGvEQxFAuJYQBNmCFz4YLrOJrgB*DNccAEQAzoCfzF5V/001.jpg?width=650)
UONGOZI WA AZANIA BENKI UNATANGAZA KIFO CHA MFANYAKAZI WAKE,LILIAN PEPPI GONDWE
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Polisi wachunguza bastola ya msafara wa Chenge
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Balotelli:polisi wachunguza ubaguzi wa rangi
9 years ago
Habarileo30 Aug
Polisi Ilala wachunguza ujambazi kwenye daladala
JESHI la Polisi limesema linachunguza tukio la uporaji wa Dola za Marekani 570 lililofanyika kwenye daladala katika eneo la Jangwani, jijini Dar es Salaam lililosababisha kifo na majeruhi.
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mgombea ‘aliyetekwa’ Mtwara apatikana, polisi wachunguza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1rAb-JAL3D8/XnMDwtYpMcI/AAAAAAALkYs/R6aepGJaDnEQbUWABorIPF0fzUJ_kb28ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7e00ddaba541mbt9_800C450.jpg)
Burkina Faso yaripoti kifo cha kwanza cha Corona 'Sub-Sahara', virusi hivyo vyaua karibu 500 Italia ndani ya saa 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-1rAb-JAL3D8/XnMDwtYpMcI/AAAAAAALkYs/R6aepGJaDnEQbUWABorIPF0fzUJ_kb28ACLcBGAsYHQ/s640/4bv7e00ddaba541mbt9_800C450.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Waziri wa Afya wa Kenya, Mutahi Kagwe amesema kuwa, watu wote hao saba wametoka nje ya Kenya. Wawili kati ya wagonjwa hao watatu wa karibuni kabisa wametokea Madrid Uhispania kupitia Dubai na mgonjwa wa tatu ni raia wa Burundi aliyewasili katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi akitokea Dubai...