Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Ilala wachunguza ujambazi kwenye daladala

JESHI la Polisi limesema linachunguza tukio la uporaji wa Dola za Marekani 570 lililofanyika kwenye daladala katika eneo la Jangwani, jijini Dar es Salaam lililosababisha kifo na majeruhi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli:polisi wachunguza ubaguzi wa rangi

Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na ubaguzi wa rangi dhidi ya Mario Balotelli

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wachunguza bastola ya msafara wa Chenge

Polisi mkoani hapa inafanya uchunguzi wa uhalali wa umiliki wa silaha iliyotumiwa na mmoja wa makada wa CCM, Ahmed Ismail katika vurugu zilizotokea baina ya wafuasi wa Chadema na msafara wa Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wachunguza kifo cha mfanyabiashara Arusha

KAMANDA wa Polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema mfanyabiashara wa nyumba za muda za wageni wa kitalii Bush Camp, Timoth Mroki (36) alijiua kwa kujipiga risasi kifuani kwa kutumia bastola yake aina ya KEL –TEC, yenye namba za usajili HCB21.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ‘aliyetekwa’ Mtwara apatikana, polisi wachunguza

Jeshi la polisi Mkoa wa Mtwara limesema linachunguza kwa kina taarifa za kutekwa kwa mgombea ubunge jimbo la Mtwara mjini (Chadema) Joel Nanauka na endapo litabaini kuna udanganyifu ameufanya dhidi ya tukio hilo hatua za kisheria zitachukuliuwa  dhidi yake.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi Dodoma wachunguza kifo cha mfanyakazi wa ndani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeMSICHANA aliyekuwa akifanya kazi za ndani, Safela Andrew (18) amekutwa amekufa katika nyumba isiyotumika mjini hapa na Polisi wanafanya uchunguzi wa kifo hicho.

 

10 years ago

Michuzi

Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni

Jeshi la Polisi leo limezuia mazishi ya aliyekuwa mnenguaji nguli wa bendi Aisha Mohammed Mbegu (Aisha Madinda) ili kujua mimi kilichosababisha kifo chake. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya The African Stars Entertainment (ASET) Bi. Asha Baraka amethibitisha hilo na kusema  kwamba mwili ndiyo ulikua unapelekwa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi. “Mjomba wa marehemu amejaribu kuwaomba sana Polisi waache kuuchunguza mwili wa Aisha kwani wamemshukuru Mungu kwa yote lakini wamekataa hivyo hadi...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba

JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yasaka watuhumiwa wa ujambazi

JESHI la Polisi mkoani hapa limeanzisha msako mkali wa kuwatafuta watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliovamia familia moja na kumuua kijana Ng’hayiwa Lengwa (14). Mbali na mauaji hayo, majambazi...

 

9 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa wa ujambazi afa katika mapambano na polisi

MTU anayedaiwa kuwa jambazi amekufa baada ya kutokea mapambano baina ya kundi alilokuwa nalo na polisi mkoani Morogoro. Mapambano hayo yanadaiwa kutokea katika kijiji cha Nakufuru, Tarafa ya Lupiro, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema tukio hilo ni la Agosti 24.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani