UONGOZI WA AZANIA BENKI UNATANGAZA KIFO CHA MFANYAKAZI WAKE,LILIAN PEPPI GONDWE
![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c*Y5MK2uN0mXICkOolo1WCXw1-L1G7gYGV6Vg4t*h4VGvEQxFAuJYQBNmCFz4YLrOJrgB*DNccAEQAzoCfzF5V/001.jpg?width=650)
Marehemu Lilian Peppi Gondwe. UONGOZI wa Azania Benki unatangaza kifo cha Mfanyakazi wake,Lilian Peppi Gondwe kilichotokea usiku wa kuamkia leoJumatatu Mei 5 katika hosptali ya Arusha Medical Center ya jijini Arusha alipokuwa akipatiwa matibabu ya Saratani. Mipangoya Mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu eneo la Kimandolu jijini Arusha ambapo mazishi yanatarajia kufanyika Alhamis Mei 8 mwaka huu katika makaburi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI, YAWAANDALIA WATEJA WAKE NA WAFANYAKAZI PARTY YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA
10 years ago
MichuziBENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI YAPITA MITAANI NA KUTOA MKONO WA KRISMASI NA HERI YA MWAKA MPYA KWA WATEJA WAKE
11 years ago
Habarileo23 Jul
Polisi Dodoma wachunguza kifo cha mfanyakazi wa ndani
MSICHANA aliyekuwa akifanya kazi za ndani, Safela Andrew (18) amekutwa amekufa katika nyumba isiyotumika mjini hapa na Polisi wanafanya uchunguzi wa kifo hicho.
10 years ago
Habarileo23 Nov
Mtoto mgonjwa anusurika kifo kwa kipigo cha mfanyakazi
MTOTO wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha huko Uganda.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB6xxq-8ebI/U8wfRHZNWDI/AAAAAAAClz8/Cf2HnziWQMM/s72-c/1+(4).jpg)
AZANIA BANK LTD YAFUTURISHA WATEJA WAKE NA YATIMA KITUO CHA MITINDO HOUSE FOUNDATION
![](http://1.bp.blogspot.com/-jB6xxq-8ebI/U8wfRHZNWDI/AAAAAAAClz8/Cf2HnziWQMM/s1600/1+(4).jpg)
Bwa.Singili alisema kuwa Benki ya Azania ni kama sehemu ya jamii, watajitahidi kutoa msaada kwa jamii katika Nyanja za elimu,afya na kusaidia yatima kila nafasi na uwezo unaporuhusu.Benki ya Azania pia iliwaalika...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB6xxq-8ebI/U8wfRHZNWDI/AAAAAAAClz8/Cf2HnziWQMM/s1600/1+(4).jpg)
AZANIA BANK LTD YAFUTURISHA WATEJA WAKE NA YATIMA KITUO CHA MITINDO HOUSE FOUNDATION
9 years ago
StarTV07 Oct
Uongozi DP waitaka Serikali kufuatilia kwa makini chanzo kifo cha mtikila
Chama cha Democratic DP kimeiomba Serikali na vyombo vya dola kufuatilia kwa kina chanzo cha kifo cha mwenyekiti wa chama hicho Mchungaji Christopher Mtikila kufuatia kuibuka utata wa kifo hicho kilichotokea kwa ajali ya gari Octoba NNE mwaka huu
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema wameshangazawa na kushtushwa na ajali hiyo na wanafikiri ni ajali ya kupangwa
Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema Mchungaji Mtikila...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Maduka, benki vyafungwa kuomboleza kifo cha Nelson Mandelea
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-F9dLH73IzwE/VAhyk0Y8XZI/AAAAAAAGd-U/zi_oEA3EPSc/s72-c/MMGM0116.jpg)
AZANIA BENKI WAZINDUA AKAUNTI MPYA YA DHAMIRA
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa akauni mpya ya benki hiyo iitwayo Dhamira, Singili amesema kuwa utaratibu wa kujiwekea akiba utapunguza tatizo la umasikini kwa wananchi.
Aliongezea kuwa, endapo wananchi wakipatiwa elimu kuhisu faida za kutunza fedha zao,itasaidia kupunguza hali ya umasikini uliopo sasa.
"Kwa kutambua...