BENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI, YAWAANDALIA WATEJA WAKE NA WAFANYAKAZI PARTY YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA
Wafanyakazi wa Benki ya Azania Tawi la Moshi, wakiwa wamejumuika katika sherehe ya kupongezana kwa mafanikio waliyoyapata katika mwaka ulioisha wa 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015. Sherehe hiyo ilifanyika jana katika Benki hilo, lililoko, mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Meneja wa Benki ya Azania Tawi la Moshi, Bi.Hajira Mmambe, akifungua zawadi katika hafla ya kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 iliyofanyika jana kama sehemu ya kuwapongeza wafanyakazi wa Benki hiyo....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI YAPITA MITAANI NA KUTOA MKONO WA KRISMASI NA HERI YA MWAKA MPYA KWA WATEJA WAKE
10 years ago
MichuziAZANIA BANK YAWAANDALIA MNUSO WAFANYAKAZI WAKE WA TAWI LA MOSHI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAHAMASISHA WATEJA KUFUNGUA AKAUNTI YA DHAMIRA
11 years ago
MichuziAZANIA BANK LTD TAWI LA MOSHI YAFUTURISHA WATEJA WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LahibZQR4L4/VDfV5JDXXnI/AAAAAAAAILs/KmNyhBBj4Wo/s72-c/IMG-20141008-WA0035.jpg)
WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB TAWI LA MOSHI WAFURAHIA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-LahibZQR4L4/VDfV5JDXXnI/AAAAAAAAILs/KmNyhBBj4Wo/s1600/IMG-20141008-WA0035.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdgpVauAgio/VDfV7uR4AHI/AAAAAAAAIL4/JuKQQt3u7Ss/s1600/IMG-20141008-WA0041.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SJGCc8mAFgo/VDfV86J6atI/AAAAAAAAIL8/ja-CU59WrFI/s1600/IMG-20141008-WA0042.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bGKhwpMfOL4/VDfV9Pm21II/AAAAAAAAIMA/ytCQxpDOQfo/s1600/IMG-20141008-WA0044.jpg)
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,AMOS MAKALLA ASHIRIKI KIFUNGUA KINYWA NA WAFANYAKAZI PAMOJA NA WATEJA WA BENKI YA NMB TAWI LA NELSON MANDELA-MOSHI
Pamoja na mafanikio hayo ameishauri benki hiyo kuendelea kuwa wabunifu wa bidhaa na kuendeleza huduma bora...
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Benki ya CBA yawaandalia Futari wateja wake
Wa pili Kushoto ni Mweka Hazina Mkuu wa Benki ya CBA Bw. Julius Mcharo akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Bw. Yohane Kaduma na Sekh Salim Mohammed wakiwa kwenye IFTAR ilioandaliwa na benki ya CBA kwa ajili ya kujumuika na wateja wake na wadau mbalimbali wakati huu wa Ramadan, kwenye hotel ya Serana jana, akizungumza kwenye IFTAR hiyo Bw. Kaduma ametoa shukrani yingi kwa wateja wa CBA na kuiasa jamii kwa ujumla kuzingatia haki na amani sio kwenye kipindi hiki tu mwezi mtukufu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MjDS0CqbcPE/U9cqAylHuVI/AAAAAAACmbo/JvKo2IGAWco/s72-c/EXIM+IFTAR+PIX+3.jpg)
BENKI YA EXIM YAWAANDALIA FUTARI WATEJA WAKE ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-MjDS0CqbcPE/U9cqAylHuVI/AAAAAAACmbo/JvKo2IGAWco/s1600/EXIM+IFTAR+PIX+3.jpg)
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Zanzibar, Mhe. Nassor Mazrui (kulia) akizungumza wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Benki ya Exim Tanzania Tawi la Zanzibar kwa ajili ya wateja wake hivi karibuni. Wengine kulia kwake ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na wateja walioalikwa katika tukio hilo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BIuCAVbVeuo/U9cqA0h3z1I/AAAAAAACmbs/6jaVNkZfO4M/s1600/EXIM+IFTAR+PIX+2.jpg)
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA WATEJA WAKE
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10