BENKI YA CRDB YASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA WATEJA WAKE
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya kuukaribisha mwaka mpya iliyowaandalia wateja iliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia), akipeana mkono na Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, wakati wa hafla ya kuukaribisha mwaka mpya iliyofanyika mwishoni mwa wiki Dar es Salaam. Kushoto ni Juma Abdulrahman.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4512EdL1iws/VhXjf8d3TsI/AAAAAAABiAQ/dvltj6rBDcM/s72-c/1.jpg)
BENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YASHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4512EdL1iws/VhXjf8d3TsI/AAAAAAABiAQ/dvltj6rBDcM/s640/1.jpg)
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City, Allen Killango (katikati) akifurahia jambo na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay (kushoto).
![](http://4.bp.blogspot.com/-YtuypGPFQKo/VhXjjCIYp4I/AAAAAAABiAs/ytKiFZWzJaA/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zt_YTuiPX9E/VhXjjO08FeI/AAAAAAABiAk/mE7Xqj4dqwc/s640/3.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YASHEREHEKEA MSIMU WA DIWALI NA WATEJA WAKE
10 years ago
MichuziBENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI, YAWAANDALIA WATEJA WAKE NA WAFANYAKAZI PARTY YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA
10 years ago
MichuziBENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI YAPITA MITAANI NA KUTOA MKONO WA KRISMASI NA HERI YA MWAKA MPYA KWA WATEJA WAKE
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZIDI KUMWAGA PASSO KWA WATEJA WAKE
11 years ago
GPLBENKI YA CRDB TAWI LA UBUNGO YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 2
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Benki ya BOA waletea wateja wake huduma mpya ya kutuma fedha Kimataifa ya ‘WARI’
Mkurugenzi wa ICT , Bw. Willington Munya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa huduma hiyo mpya ya BOA. anayefuatia ni Meneja wa E.Banking, Bi. Editha Jumbe na wa mwisho ni Afisa masoko Danieli Sarungi. ( Picha na Niccomediatz).
Benk ya BOA Tanzania imeleta huduma mpya kwa wateja wake ijulikanayo kama WARI-huduma ya kutuma fedha kimataifa ambapo kwa sasa huduma hiyo imeingia nchini na mteja anaweza kutuma na kupokea fedha ndani na nje bila ya kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PimHyVIfXWM/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...