Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZANIA BENKI WAZINDUA AKAUNTI MPYA YA DHAMIRA

MKURUGENZI mtendaji wa Azania benki,Charles Singili amewataka wananchi kuwa na mazoea ya kujiwekea akiba kwa manufaa ya baadae.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa akauni mpya ya benki hiyo iitwayo Dhamira, Singili amesema kuwa utaratibu wa kujiwekea akiba utapunguza tatizo la umasikini kwa wananchi.
Aliongezea kuwa, endapo wananchi wakipatiwa elimu kuhisu faida za kutunza fedha zao,itasaidia kupunguza hali ya umasikini uliopo sasa.
"Kwa kutambua...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAHAMASISHA WATEJA KUFUNGUA AKAUNTI YA DHAMIRA

Meneja Msaidizi wa Benki ya Azania Joseph Msase akikabidhi fomu ya Akaunti ya Dhamira kwa mmoja wa wateja wa Benki hiyo Benjamini Mengi.Mteja wa Benki ya Azania Benjamini Mengi akionesha fomu yake baada ya kujiunga na Akaunti ya Dhamira ,wengine ni wafanyakazi wa Benki ya Azania tawi la Moshi,Hajira Mmambe(mwenye kilemba) na familia ya Mengi.Mtoa huduma kwa wateja katika Benki ya Azania tawi la Moshi ,Happy Msengi akimshawishi Mama Mengi kufungua akaunti ya Dhamira iliyoanzishwa katika Benki...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI, YAWAANDALIA WATEJA WAKE NA WAFANYAKAZI PARTY YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA

Wafanyakazi wa Benki ya Azania Tawi la Moshi, wakiwa wamejumuika katika sherehe ya kupongezana kwa mafanikio waliyoyapata katika mwaka ulioisha wa 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015. Sherehe hiyo ilifanyika jana katika Benki hilo, lililoko, mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.Meneja wa Benki ya Azania Tawi la Moshi, Bi.Hajira Mmambe, akifungua zawadi katika hafla ya kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 iliyofanyika jana kama sehemu ya kuwapongeza wafanyakazi wa Benki hiyo....

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI YAPITA MITAANI NA KUTOA MKONO WA KRISMASI NA HERI YA MWAKA MPYA KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi wa Idara ya Oparesheni ya Benki ya Azania, Togolani Mramba (wa pili kushoto), akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wakuu wa Benki hiyo mkoani Kilimanjaro, Mfanyabiashara wa Nafaka, Izina Rashid Msangi, ikiwa ni utaratibu wa kawaida wa Benki hiyo kutoa mkono wa shukrani kwa wateja wake na kuwatakia heri katika sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa Benki hiyo, wakiongozwa na Meneja wa Azania Tawi la Moshi, Bi. Hajira Mmambe.Timu ya Wafanyakazi wa Benki ya...

 

11 years ago

Michuzi

VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA

Mkurugenzi wa Huduma Mbadala za Benki wa CRDB Joseph Witts akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya kutoa pesa kwenye M-pesa kupitia ATM za benki bila kuhitaji kuwa na kadi wala akaunti ya beki hiyo. Wengine pichani ni Ofisa Mkuu wa Biashara Mtandao wa Vodacom Jacques Voogt na Meneje Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim. Ofisa Mkuu wa wa Biashara Mtandao wa Vodacom Jacque Voogt akittumia ATM ya Benki ya CRDB kutoa pesa kwenye akaunti ya...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Azania, TAFSUS yakabidhi shilingi milioni 100 kuboresha makazi Manzese

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka (kulia) na Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro (kushoto) kwa pamoja wakionyesha hundi ya shilingi milioni mia moja iliyotolewa kwa wakazi wa kata Mvuleni, Manzese mkoani Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kupitia asasi ya Tanzania Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS) ili kuboresha makazi yao Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumza wakati wa...

 

11 years ago

GPL

UONGOZI WA AZANIA BENKI UNATANGAZA KIFO CHA MFANYAKAZI WAKE,LILIAN PEPPI GONDWE

Marehemu Lilian Peppi Gondwe. UONGOZI wa Azania Benki unatangaza kifo cha Mfanyakazi wake,Lilian Peppi Gondwe kilichotokea
usiku wa kuamkia leoJumatatu Mei 5 katika hosptali ya Arusha Medical Center ya jijini Arusha  alipokuwa akipatiwa matibabu ya Saratani. Mipangoya Mazishi inafanyika  nyumbani kwa marehemu eneo la Kimandolu jijini Arusha ambapo mazishi yanatarajia kufanyika Alhamis Mei 8 mwaka huu katika makaburi ya...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yazindua kampeni ya akaunti za mishahara

Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Andrew Lyimo (katikati), akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya akaunti za mishahara iliyopewa jina la ‘Mcheza Kwao’ yenye lengo la kuhamasisha wafanyakazi kuchukulia misharahara benki. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Huduma za Jamii wa benki hiyo, Irene Peter na Meneja Malipo ya Mishahara na Maendeleo, Amos Lyimo. Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter (kushoto),...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yawakumbuka wateja wasio na akaunti benki

WATEJA  wa Kampuni ya mawasiliano ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania, ambao hawana akaunti za benki sasa watakuwa na uwezo wa kupata mikopo ya papo kwa hapo kutoka kwenye...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA BERCLAYS YAWATANGAZA WASHINDI WA AKAUNTI YA MSHAHARA.

BANKI ya Barclays imewazawadia washindi wa droo ya akanti ya mshahara ambayo imechezeshwa mwezi Oktoba mwaka huu ikiwa wamepata washindi watatu ambapo mshindi wa kwanza amepata 100% ya mshahara wake wa kila mwezi, mshindi wa pili amepata 75%  na watatu  50%  ya mshahara wake anaoweka katika akaunti ya benki hiyo.







Washindi hao ni Massoud Ramadhan Lupeja wa Kinondoni jijini Dar es Salaam, Nuran Hatibu Hemed wa  na  Moses Mofati Chilongo.
Hayo yamesemwa na  Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa wa Benki ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani