Benki ya Azania, TAFSUS yakabidhi shilingi milioni 100 kuboresha makazi Manzese
![](http://1.bp.blogspot.com/-D8__OxMGLLo/VCjk6izGNqI/AAAAAAACrw0/YoL_6NSXlFA/s72-c/tafsus%2Bpix%2B1.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka (kulia) na Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro (kushoto) kwa pamoja wakionyesha hundi ya shilingi milioni mia moja iliyotolewa kwa wakazi wa kata Mvuleni, Manzese mkoani Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kupitia asasi ya Tanzania Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS) ili kuboresha makazi yao
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumza wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Sep
Azania kuboresha makazi Manzese kwa milioni 100/
WAKAZI wa Kata ya Manzese mtaa wa Mvuleni iliyopo jijini Dar es Salaam wamepokea zaidi ya Sh milioni 100 kutoka Benki ya Azania kwa ajili ya kuboresha makazi yao duni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s72-c/02.jpg)
BENKI YA NMB YAKABIDHI SHILINGI MILIONI 100 KWA WAZIRI MKUU KUPAMBANA NA CORONA
Waziri mkuu amekabidhiwa fedha hizo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu, Dar es Salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh. Milioni 100 kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kutoka kwa Kaimu...
10 years ago
Vijimambo29 Sep
Manzese wakabidhiwa Sh100 milioni kuboresha makazi yao
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2468548/highRes/839567/-/maxw/600/-/97skiw/-/tibaijuka.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Apr
BENKI YA CBA YAKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 5 KWAAJILI YA UJENZI WA HOSTELI YA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KIFARU MWANGA
![SAM_2053](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/t1dpmIu-GdAMCy7ZMWbTg4bR03HL2z-CpHOFd-CkCyQUjC80oX1C7tXVa8tG3i7Hc7MZTEwxg1Ytiex9ZDAOPlSkxagtU3G7UjenauLWhkMyrZE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2053.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Benki ya CBA yakabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana shule ya Sekondari Kifaru Mwanga
Meneja masoko wa benki ya CBA Tanzania, Solomon Kawishe (kushoto), Meneja masoko Moshi Eliud Marko (katikati) wakimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kifaru, Abdallah Mwomboke iliyopo katika kijiji cha Kituri kata ya Kileo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro hundi ya shilingi Milioni tano yenye thamani ya zaidi ya mifuko 300 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Hosteli ya wasichana katika shule hiyo, msaada huo ni sehemu ya kamapeni ya Book by Book inayoendeshwa na benki ya CBA...
10 years ago
Vijimambo29 May
MAKAZI YA MICHAEL JACKSON ‘NEVERLAND’ YAINGIA RASMI SOKONI, YAUZWA KWA DOLA MILIONI 100
![292899DB00000578-3101512-Everlasting_There_are_still_a_few_small_signs_that_the_property_-a-18_1432854494050](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/292899DB00000578-3101512-Everlasting_There_are_still_a_few_small_signs_that_the_property_-a-18_1432854494050.jpg)
![292899E700000578-3101512-Not_the_same_Neverland_pictured_2001_now_known_as_Sycamore_Valle-a-25_1432854494339](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/292899E700000578-3101512-Not_the_same_Neverland_pictured_2001_now_known_as_Sycamore_Valle-a-25_1432854494339.jpg)
![2928999A00000578-3101512-Mini_town_While_the_amusement_park_has_now_been_removed_there_ar-a-23_1432854494233](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/2928999A00000578-3101512-Mini_town_While_the_amusement_park_has_now_been_removed_there_ar-a-23_1432854494233.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XBDONJeYz_E/VToigWg1HHI/AAAAAAAHS5c/cXQYH7ajEpU/s72-c/001.IRENE%2BJAY.jpg)
MKAZI WA KAWE IRENE MREMA ACHOMOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBDONJeYz_E/VToigWg1HHI/AAAAAAAHS5c/cXQYH7ajEpU/s1600/001.IRENE%2BJAY.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-BtBmOib8YxQ/VUHu1WppvaI/AAAAAAAAP5M/_HTNTcqejmA/s1600/picha%2B3.jpg)
LAPF WATOA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 100 KWA SACCOS YA WALIMU WILAYANI RUANGWA, LINDI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10