Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKAZI YA MICHAEL JACKSON ‘NEVERLAND’ YAINGIA RASMI SOKONI, YAUZWA KWA DOLA MILIONI 100

292899DB00000578-3101512-Everlasting_There_are_still_a_few_small_signs_that_the_property_-a-18_1432854494050Makazi maarufu ya marehemu Michael Jackson, yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza tangu kifo chake.  Nyumba hiyo ipo katika maeneo ya Santa Barbara, California nchini Marekani. Makazi hayo yanauzwa kwa dola milioni 100.292899E700000578-3101512-Not_the_same_Neverland_pictured_2001_now_known_as_Sycamore_Valle-a-25_1432854494339Makazi hayo yanayouzwa na kampuni ya Sotheby’s and Hilton & Hyland iliyolipa deni alilokuwa akidaiwa MJ na kuyachukua, yana ukubwa wa futi za mraba 12,000 na yamo katikati ya maziwa mawili huku nyumba ikiwa na vyumba 8.2928999A00000578-3101512-Mini_town_While_the_amusement_park_has_now_been_removed_there_ar-a-23_1432854494233Na sasa yamebadilishwa jina kutoka Neverland na kuwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Michael Jordan anaingiza dola milioni 100 kila mwaka, fahamu zinakotoka

Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu, Michael Jordan aliingiza dola milioni 100 kutoka kwa Nike na washirika wengine mwaka jana kwa mujibu wa mtandao wa Forbes, kuliko mwanamichezo yeyote aliyestaafu. Pesa aliyoingiza mwaka jana, ni zaidi ya dola milioni 90 ya mshahara aliolipwa kwenye kipindi cha miaka 15 aliyochezea kwenye timu za Chicago Bulls […]

 

9 years ago

Bongo5

Michael Jackson aongoza orodha ya ‘Forbes World’s top-earning dead celebrity’ kwa dola M 115 mwaka huu

Kwa mujibu wa Forbes, marehemu Michael Jackson ndiye mtu maarufu (waliofariki) aliyeingiza pesa nyingi zaidi mwaka huu duniani, kwa kiasi cha dola milioni 115 ikiwa ni miaka sita toka mfalme huyo wa Pop duniani afariki dunia June 25, 2009. Huu ni mwaka wa tatu mfululizo MJ anatajwa kuongoza orodha hiyo ya Forbes. Mwaka jana aliingiza […]

 

10 years ago

Habarileo

Azania kuboresha makazi Manzese kwa milioni 100/

Waziri wa Ardhi, Nyumba, na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna TibaijukaWAKAZI wa Kata ya Manzese mtaa wa Mvuleni iliyopo jijini Dar es Salaam wamepokea zaidi ya Sh milioni 100 kutoka Benki ya Azania kwa ajili ya kuboresha makazi yao duni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nywele ya Lincoln yauzwa kwa dola 25,000

Vitu vya aliyekuwa rais wa 16 wa Marekani Abraham Lincoln vimeuzwa katika mnada Marekani na kupata dola 800,000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya paka yauzwa kwa dola 80,000

Sanamu moja ya paka wa Misri,ambayo nusra itupiliwe mbali kama taka,imeuzwa nchini Uingereza kwa takriban dola 80,000.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeiba dola Milioni 100 arejeshwa China

Shirika la habari la taifa la Uchina, linaarifu kuwa afisa wa zamani ambaye anashutumiwa kwa ufisadi mamilioni ya dola, amerejeshwa nyumbani

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100




Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya Serikali na...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Azania, TAFSUS yakabidhi shilingi milioni 100 kuboresha makazi Manzese

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka (kulia) na Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro (kushoto) kwa pamoja wakionyesha hundi ya shilingi milioni mia moja iliyotolewa kwa wakazi wa kata Mvuleni, Manzese mkoani Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kupitia asasi ya Tanzania Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS) ili kuboresha makazi yao Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumza wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani