Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZANIA BANK LTD YAFUTURISHA WATEJA WAKE NA YATIMA KITUO CHA MITINDO HOUSE FOUNDATION

 Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kupata ftari ya pamoja iliyoandaliwa na Benki ya Azania,mwishoni mwa wiki kwenye moja ya ukumbi  uliopo ndani ya jengo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Bwa.Singili alisema kuwa Benki ya Azania ni kama sehemu ya jamii, watajitahidi kutoa msaada kwa jamii katika Nyanja za elimu,afya na kusaidia yatima kila nafasi na uwezo unaporuhusu.Benki ya Azania pia iliwaalika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AZANIA BANK LTD YAFUTURISHA WATEJA WAKE NA YATIMA KITUO CHA MITINDO HOUSE FOUNDATION‏

 Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kupata futari ya pamoja iliyoandaliwa na Benki ya Azania,mwishoni mwa wiki kwenye moja ya ukumbi  uliopo ndani ya jengo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).…

 

11 years ago

Michuzi

AZANIA BANK LTD TAWI LA MOSHI YAFUTURISHA WATEJA WAKE

Baaadhi ya waalikwa wakipata futari iliyoandaliwa na Benki ya Azania tawi la Moshi.Mkuu wa wilaya ya Moshi  Mhe Ibrahim Msengi (katikati)akiwa na Shekhe  mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro  Alhaj Shaban Rashid(kulia)Baadhi ya waalikwa wakipata futari iliyoandaliwa na benki ya Azania Tawi la Moshi.Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Bi. Hajira Mmambe(shoto)akiteta jambo na mfanyabiasha  Ibrahimu Shayo maarufu kama Ibra line(mwenye kanzu) ,katikati ni mfanyakazi wa taasisi moja ya fedha mjini Moshi.

 

11 years ago

Michuzi

AZANIA BANK YAFUTARISHA WATEJA WAKE MJINI KAHAMA

MENEJA WA AZANIA BENKI LIMITED, TAWI LA KAHAMA, BWANA GEOFFREY MAHONA, AKIONGEA KWENYE SHUGHULI YA FUTARI ALIYOWAANDALIA WATEJA WA BENKI HIYO NA BAADHI YA WANANCHI WA KAHAMA KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI YA KAHAMA HIVI KARIBUNI.SHEIKH WA WILAYA YA KAHAMA, MKOANI SHINYANGA, SHEIKH OMAR DAMKA AKIONGOZA WATEJA NA WANANCHI WA KAHAMA WALIOALIKWA KATIKA FUTARI ILIYOANDALIWA NA BENKI YA AZANIA TAWI LA KAHAMA HIVI KARIBUNI KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI KAHAMA.ALHAJ JAHA , AMBAYE NI MMOJA WATEJA WA...

 

10 years ago

Dewji Blog

DStv Tanzania yafuturisha Watoto Yatima wa kituo cha Al- Madina

Mkuu wa kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Al-Madina, Bi. Kulthum Juma akizungumzia kuhusu kituo hicho pamoja na kutoa shukrani kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kwa kuendelea kukisaidia kituo cha hicho ambacho kina takribani watoto 68 na pia kituo hicho kipo eneo la Tandale kwa Tumbo jijini Dar.

Ustadhi Mashaka Salim akitoa neno.

Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania, Peter Fauel akichukua chakula wakati wa kuwafuturisha  watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Al-Madina kilichopo...

 

10 years ago

GPL

DSTV TANZANIA YAFUTURISHA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA AL- MADINA‏

Mkuu wa kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Al-Madina, Bi. Kulthum Juma akizungumzia kuhusu kituo hicho pamoja na kutoa shukrani kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kwa kuendelea kukisaidia kituo cha hicho ambacho kina takribani watoto 68 na pia kituo hicho kipo eneo la Tandale kwa Tumbo jijini Dar. Ustadhi Mashaka Salim akitoa neno. Mkurugenzi wa Multichoice… ...

 

10 years ago

GPL

DSTV TANZANIA YAFUTURISHA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA AL- MADINA DAR ES SWALAAM

 Meneja wa Fedha wa Multichoice Tanzania, Francis Senguji, miongoni mwa wafanyakazi wa kampuni hiyo wakipata futari   ....Akitoa huduma ya chakula kwa watoto yatima hii ikiwa ni njia mojawapo ya kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.  Vinywaji mbalimbali vikiwa katika meza kwakila mmoja kujihudumia…

 

11 years ago

Michuzi

VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA WATOTO YATIMA ZANZIBAR

Mgeni rasmi kwenye hafla ya kufuturisha watoto waishio katika mazingira magumu mjini Zanzibar,Kadhi Mkuu wa Zanzibar,akiwasili kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na Vodacom Foundation na kupokewa na Meneja wa Vodacom tawi la Zanzibar, Mohamed Mansoor. Baadhi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu mjini Zanzibar wakimsikiliza Kadhi Mkuu Zanzibar Khamis Haj alipokuwa anazungumza nao wakati wa hafla ya kufuturisha watoto hao iliyoandaliwa na Vodacom Foundation jana. Kadhi Mkuu wa Zanzibar...

 

11 years ago

GPL

VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA WATOTO YATIMA ZANZIBAR‏

Mgeni rasmi kwenye hafla ya kufuturisha  watoto waishio katika mazingira magumu mjini Zanzibar,Kadhi Mkuu wa Zanzibar,akiwasili kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na Vodacom Foundation na kupokewa na Meneja wa Vodacom tawi la Zanzibar, Mohamed Mansoor. Viongozi wa dini mjini Zanzibar pamoja  na wa Vodacom Tanzania wakiongozwa na mgeni rasmi Kadhi wa Zanzibar Khamis Haj wakipata futari katika  hafla hiyo iliyoandaliwa na...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAHAMASISHA WATEJA KUFUNGUA AKAUNTI YA DHAMIRA

Meneja Msaidizi wa Benki ya Azania Joseph Msase akikabidhi fomu ya Akaunti ya Dhamira kwa mmoja wa wateja wa Benki hiyo Benjamini Mengi.Mteja wa Benki ya Azania Benjamini Mengi akionesha fomu yake baada ya kujiunga na Akaunti ya Dhamira ,wengine ni wafanyakazi wa Benki ya Azania tawi la Moshi,Hajira Mmambe(mwenye kilemba) na familia ya Mengi.Mtoa huduma kwa wateja katika Benki ya Azania tawi la Moshi ,Happy Msengi akimshawishi Mama Mengi kufungua akaunti ya Dhamira iliyoanzishwa katika Benki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani