Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KESI YA KIFO CHA KANUMBA... LULU AANIKA UKWELI

Stori: Waandishi Wetu
MWANGA umeanza kuonekana juu ya kesi inayomkabili staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ya kumuua bila kukusudia staa mwenzake wa muvi, Steven Charles Meshack Kusekwa Kanumba ambapo safari hii aliamua kukiri vipengele kibao, Risasi Mchanganyiko lina habari yote. Akikiri mbele ya Mahakama Kuu ya Tanzania juzi (Jumatatu) wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa, nyota huyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KESI YA KIFO CHA KANUMBA, LULU AKESHA AKIOMBA

Stori: imelda Mtema na Mayasa Mariwata
STAA wa Filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema hivi sasa anakesha akiomba ili mambo yaende vizuri katika kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, Ijumaa lina maelezo yake ya kutosha. Lulu amemwambia paparazi wetu kuwa alishaanza kuyasahau matatizo hayo lakini hataweza kupingana na amri ya mahakama iliyopanga kuanza kusikiliza...

 

10 years ago

GPL

KESI KIFO CHA KANUMBA, SURA MPYA!

Stori: Shakoor Jongo Jipya! Baada ya kimya cha muda mrefu, imefichuka kwamba kesi ya kuuawa kwa aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’ imechukua sura mpya baada ya kuanza kusikilizwa kimyakimya, Ijumaa Wikienda limenasa kinachoendelea. Staa wa sinema za Kibongo, Lulu Elizabeth Michael, 'Lulu".
WATU WANATAKA KUJUA KINACHOENDELEA
Uchunguzi wa gazeti hili… ...

 

11 years ago

Bongo Movies

Lulu amkumbuka Kanumba ikiwa ni miaka miwili tangu kifo chake kilipotokea. Hichi ndicho alichosema

Leo ni siku ya kutimiza miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha Steven Kanumba aliyekuwa star mkubwa wa filamu na kufanikiwa kutoa njia kwa tasnia ya filamu nchini. Kupitia mtandao wa kijamii Elizabeth Michael "Lulu" ambaye anakabiriwa na kesi ya mauaji ya Kanumba bila kukusudia ameandika kwa uchungu kuonyesha kuwa mpaka leo bado haamini kuwa Kanumba alikwishafariki.

Kupitia mtandao mmoja maaruffu wa kijamii, Lulu ameandika

bado Siamini kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona wala...

 

11 years ago

GPL

UKWELI KIFO CHA DENTI CHUO KIKUU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
HATIMAYE familia ya denti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, marehemu Sekabenga Pius Mwakimenya (21) kilichotokea hivi karibuni na kugubikwa na utata, imeanika ukweli kuhusiana na tukio hilo. Marehemu Sekabenga Pius Mwakimenya enzi za uhai wake. Akizungumza na Uwazi, mwishoni mwa wiki iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baba mdogo wa marehemu aliyejitambulisha kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nilichokiona kumbukumbu ya kifo cha Kanumba 2014

MIAKA wiwili ya kifo cha  nyota wa filamu nchini, Steven  Kanumba,  ilivyokuwa  sivyo ilivyotarajiwa na  wengi. Aprili 7, 2012 ndiyo siku msanii huyo alifariki dunia kutokana na kifo cha ghafla...

 

11 years ago

GPL

SETH APOTEZA DIRA KIFO CHA KANUMBA

Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu ambaye ni mdogo wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefunguka kuwa marehemu kaka yake huyo amemchanganya kimaisha kwani kila kukicha hajui atafanya nini kwa siku nzima. Seth Bosco. Seth alisema, tangu Kanumba afariki akiamka asubuhi hajui anafanya nini kwa siku nzima tofauti na alivyokuwa hai walikuwa wakipanga ratiba ya siku hata kama wamerudi nyumbani usiku wa manane lazima wapange...

 

11 years ago

GPL

MIAKA 2 YA KIFO CHA KANUMBA: WASANII WENZAKE WALIVYOMKUMBUKA

Marehemu Steven Kanumba. Flora Mvungi. Florah Mvungi
It has been 2 years since ututoke ndugu yetu,Mungu akupunguzie adhabu,tunakuombea na tunakukumbuka sana kwa mchango wako mkubwa kwenye tasnia ya filamu Tanzania,tunaadhimisha KANUMBA DAY leo tar 7 mwezi wa 4 kwa pamoja tutaenda kanisani temboni saa tatu asubuhi kisha makaburini na baadae dar live,karibuni sana tujumuike pamoja.… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

MIAKA 3 KIFO CHA KANUMBA: Wasanii Wamepoteza Ajira

ILIKUWA Aprili 7, 2012 pale nyota iliyong’ara katika tasnia ya filamu ilipozimika ghafla.

Steven Charles Kanumba alikuwa ni msanii, mwongozaji na mtayarishaji wa filamu aliyeifanya tasnia ya filamu nchini kuwa hai.

Kanumba, alikuwa ni zaidi ya mwigizaji kutokana na uwezo wake wa kutengeneza uhalisia wa kile alichokuwa akikifanya katika filamu.

Katika miaka yake ya mwanzo kaburini kila ilipofika Aprili 7 ya kila mwaka kulikuwa na tukio kubwa kwa ajili ya kumbukumbu yake.

Lakini mwaka huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani