Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IMAMU ANUSURIKA KIFO KWA WIZI WA ‘KITIMOTO’

IMAMU mmoja ambaye hakufahamika jina lake wa msikiti wa Kisesa Jijini Mwanza, amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na Waislam wenzake akiwa kituo cha polisi Kisesa anaposhikiliwa kwa wizi wa nguruwe ‘kitimoto’. Waislam hao walivamia kituo cha polisi  baada ya kupata taarifa za Imamu huyo kudaiwa kuiba nguruwe ambaye anajua ni najisi kwenye dini ya Kiislam. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KIJANA ANUSURIKA KUUAWA KISA WIZI MAMA AINGILIA KATI KUMUOKOA KIFO



Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo.
Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na kutokana na kipigi hicho kilichomfanya atapakae damu mwilimzima,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi

MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto mgonjwa anusurika kifo kwa kipigo cha mfanyakazi

MTOTO wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha huko Uganda.

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN ANUSURIKA KIFO, SUGE KNIGHT AKIJERUHIWA KWA RISASI

Cris Brown akiwa Klabu 1OAK kabla ya vurugu kutokea. Prodyuza mkongwe, Suge Knight amejeruhiwa tumboni na mkononi katika shambulio hilo. MWIMBAJI Cris Brown amenusurika kuuawa katika shambulio la risasi ndani ya klabu ya usiku jijini Los Angeles ambapo prodyuza Suge Knight amejeruhiwa. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo katika klabu ya usiku iitwayo 1OAK iliyopo magharibi mwa Hollywood wakati wa… ...

 

10 years ago

GPL

JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU

Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Ijumaa wikienda
Kibano! Jamaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akinusa kifo baada ya kula kipigo ‘hevi’ wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha kiasi cha shilingi laki 450,000 kupitia huduma za fedha kwa mitandao ya simu. Akiomba kuachiwa baada ya kupewa kichapo kikali. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda lilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya...

 

10 years ago

GPL

CHUO CHA IMAMU JAFAR SWADIQ CHAADHIMISHA KIFO CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)

Sheikh Hemed Jalala akiwahutubia waumini (Hawapo pichani). Baadhi ya viongozi wakiwa meza kuu.…

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KUUAWA KATIKA WIZI WA PIKIPIKI MAGOMENI, DAR

Mtuhumiwa wa wizi akiwa amechakazwa kwa kipigo.   Moja ya matofali yaliyotumika kumshambulia mtuhumiwa. …

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KIFO UBUNGO

Pikipiki iliyopata ajali ikiwa chini. Umati wa watu ukishuhudia ajali hiyo.
Daladala iliyojitolea kumsaidia…

 

11 years ago

Habarileo

Lowassa anusurika kifo

ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani