JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU
![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qtWLZWAwR98bKPwALM7f0m26enTv2CGJBT8KmHyMmejdlU9vly6OQ2DyLqJgzbdqKP4x1RFcuGV-h*uezr9-knI/3.jpg)
Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Ijumaa wikienda Kibano! Jamaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akinusa kifo baada ya kula kipigo ‘hevi’ wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha kiasi cha shilingi laki 450,000 kupitia huduma za fedha kwa mitandao ya simu. Akiomba kuachiwa baada ya kupewa kichapo kikali. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda lilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQO5WxhLc1mktmG2OhP6NEq8AExeH39YT08SVqnoyw6ld3xq-zD1dMfQLdTNJapXIKN9hx4eOhZLywr0-THMaVlh/MWIZI.jpg)
ANUSA KIFO WIZI WA BODABODA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmyjcmEKk3WJ*AWcvrhsV8jPQp3YfPAVkr*J3ogAEab3vOn3AY-SN9gGxj1kfr8CDmNlkdigBaLWH1PgFdcqfs1/boda.jpg)
BODABODA ANUSA KIFO KISA, KUKWAPUA SIMU!
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Tanzania ipo kwenye mikakati kukabili wizi wa fedha kwa kutumia mitandao
10 years ago
Vijimambo15 Feb
Wizi wa fedha kupitia mitandao wazidi kuzitesa benki
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benno-14Feb2015.jpg)
Wizi wa fedha kwa njia ya mtandao kupitia mashine maalum za kutolea fedha (ATM) unaendelea kuzitesa benki mbalimbali nchini ambapo kwa sasa wahalifu hao wanahamisha fedha za wateja wakiwa nje ya nchi kwa kutumia kadi za kutolea fedha.
Wizi huo hufanyika kwa kutumia kadi za kutolea fedha zinazoingiliana na benki zingine (smart card) ambazo mteja wa benki anaweza kutolea fedha akiwa popote duniani kupitia ATM.
Chanzo chetu cha habari kimetufahamisha kuwa wezi...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Kandoro alia na wizi kwa njia ya mitandao
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSG7Yc*aZG8etYDminIkrjrNu8Xm0vFc2mL-*CoVyLebT8K1elCv6e4mpFJ0O6yV0LRmtUbWvnFjbpk97JPsues1/saida.jpg)
SAUDA MWILIMA ANUSA KIFO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/uA6n-PL7MzA/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrU1GM-5B-J*6IhoOrECda58ExPUAF4GmDsSzGOnUypVmNr9jLDoBvMD61cE2UMhOkKRy8pIEJBVr8VO26G*tcK9/Kifo.jpg?width=650)
KISA PASAKA, AKWAPUA, ANUSA KIFO
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Kortini kwa wizi, utakatishaji fedha
NA FURAHA OMARY
MFANYAKAZI wa Benki ya CRDB, Telesphory Gura (43), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kumwibia mwajiri wake sh. milioni 241 na kutakatisha fedha haramu.
Gura, mkazi wa Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam, alifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Frank Moshi.
Wakili wa Serikali, Genes Tesha, alimsomea Gura mashitaka matano ya wizi wa sh. 241,163,668 na ya kutakatisha fedha zaidi ya sh....