KISA PASAKA, AKWAPUA, ANUSA KIFO
![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrU1GM-5B-J*6IhoOrECda58ExPUAF4GmDsSzGOnUypVmNr9jLDoBvMD61cE2UMhOkKRy8pIEJBVr8VO26G*tcK9/Kifo.jpg?width=650)
TAMAA ya kutaka Sikukuu ya Pasaka iwe nzuri kwa kufanya matanuzi kwa pesa za kuzipata kirahisi pasipo kutoka jasho, wiki iliyopita zilimponza kijana mmoja ambaye jina lake halikupatikana, baada ya kujikuta akichezea kichapo ‘hevi’ hadi kuvunjwa miguu, baada ya kujaribu kuiba baiskeli katika Soko la Mwembe Chai, lililopo Magomeni jijini Dar es Salaam. Mwizi baada ya kupokea kichapo toka kwa wananchi. Kijana huyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmyjcmEKk3WJ*AWcvrhsV8jPQp3YfPAVkr*J3ogAEab3vOn3AY-SN9gGxj1kfr8CDmNlkdigBaLWH1PgFdcqfs1/boda.jpg)
BODABODA ANUSA KIFO KISA, KUKWAPUA SIMU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSG7Yc*aZG8etYDminIkrjrNu8Xm0vFc2mL-*CoVyLebT8K1elCv6e4mpFJ0O6yV0LRmtUbWvnFjbpk97JPsues1/saida.jpg)
SAUDA MWILIMA ANUSA KIFO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQO5WxhLc1mktmG2OhP6NEq8AExeH39YT08SVqnoyw6ld3xq-zD1dMfQLdTNJapXIKN9hx4eOhZLywr0-THMaVlh/MWIZI.jpg)
ANUSA KIFO WIZI WA BODABODA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qtWLZWAwR98bKPwALM7f0m26enTv2CGJBT8KmHyMmejdlU9vly6OQ2DyLqJgzbdqKP4x1RFcuGV-h*uezr9-knI/3.jpg)
JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2QnKqCSHrMo/default.jpg)
KIJANA ANUSURIKA KUUAWA KISA WIZI MAMA AINGILIA KATI KUMUOKOA KIFO
Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo.
Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na kutokana na kipigi hicho kilichomfanya atapakae damu mwilimzima,...
10 years ago
VijimamboWEMA SEPETU ALIZUA JIPYA AKWAPUA BWANA WA LINAH SANGA.
Hii ndiyo picha iliyochafua hali ya hewa kati ya Wema na Linnah inasemekana ilipigwa kwenye sita kwa sita na huyo boyfriend wa Linnah. Jitiririshe hapa chini kusikia Linnah anaongea nini juu ya hii habari amabyo ndiyo joto la mjini bongo kwa sasa kunako mitandao ya kijamii.
![](http://2.bp.blogspot.com/-fy2GJIWrYPU/VXCmTaKMdTI/AAAAAAADp_g/dGHy_SE999c/s640/224492ba1def11e3bede22000aeb43a7_7.jpg)
Madam Wema Sepetu amkwapua bwana wa Linah Sanga akiongea kwa uchungu msanii huyo wa bongo fleva kwenye kipindi cha Ala za roho,Amedai penzi lake limekwenda na maji baada ya madam kufanya yake.Bwana huyo ndie alikua meneja...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Majaliwa anusa ufisadi Kigoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Dk John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la Shirika la Maendeleo Kigoma (KIGODECO) kwa bei ya kutupwa.
10 years ago
GPLMTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA
11 years ago
Michuzi16 Apr
KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mu4i9qV6CtseExo4S14E9FBdDx5E-RTJ9mPA0B981EEOuuU3JgCFA-h2xtNWQXXAm7Z2tK6HCsSXZZms6zvveMMhOD-H1JmgY6494wyFqSzldt5DiztBYKt9Vy1QzDEJuxUeGhVmQBWcDJ1EcyIq2cCGxHvCgovmtQLE0YaIQbmiX5rplWqp-0tP5F7QuCvMXAkQbSMOrqdavTIZUqzuWgvfHl-S9pPDP0tSQf4Z4ItaKN4uW8ed5DcZZvblwhZhvqUfH6ko2G6FTQftFCef2FTd5oD6sBOcpF91VY02BGsV3xoijj4zDXGRKiGi3IWlMUs_DKktLZtweVOaYSN2RqDMsb7BEP0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-zcKVjNsVVhQ%2FU01Q1lx2slI%2FAAAAAAAAVkM%2FuxQON5LjPVk%2Fs1600%2Fkapotive%2B2000.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...