BANZA STONE YUKO HOI, HAZUNGUMZI, AMEGOMA KULA CHAKULA NA KUNYWA DAWA, WASANII WENGI WAMEMTENGA — MAMA MZAZI

Mama mzazi wa muimbaji wa muziki wa dance, Banza Stone amesema mwanae afya yake imezidi kuzorota na sasa amegoma kula chakula wala kunywa dawa.
Akiongea na Ripoti ya kipindi cha Ubaoni cha EFM juzi, mama huyo alisema hadi siku hiyo Banza alikuwa amegoma kula kwa siku tatu mfululizo.Aliongea kuwa pamoja na kuugua hivyo bado wasanii wenzake wameshindwa kwenda kumjulia hali.“Mpaka sasa sijamuona mtu yeyote aliyekuja kumshughulikia na kumwangalia, wamemwacha hivi hivi. Na mimi siwezi kuwalaumu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
BANZA STONE YUKO 'MAHUTUTI' TUNDUMA

Kwanini Tunduma? Bendi yao ya Rungwe ilikuwa na ziara katika miji kadhaa ya...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam



10 years ago
Vijimambo
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam

10 years ago
GPL
MAMA SALMA KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MWANAMUZIKI RAMADHANI MASANJA BANZA STONE ALIYEZIKWA JANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA

Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
11 years ago
GPL
LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?
11 years ago
GPL
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
10 years ago
GPL
BANZA STONE: UGONJWA HUU UTANIUA!