Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BANZA STONE YUKO 'MAHUTUTI' TUNDUMA

wasamaria wema wamuuguza, taratibu za kumrejesha Dar zaandaliwaWalikwenda mkoani Mbeya na bendi yao Rungwe Music Band (zamani Wana Extra), bendi ikasambaratikia huko kila mtu akarejea Dar na hamsini zake, Banza akaamua kwenda Tunduma na huko ndiko balaa lilipomkumba.Pengine bado uko kizani. Ni kwamba mwanamuziki nyota wa dansi Ramadhani Masanja “Banza Stone” yuko hoi mjini Tunduma na hana huduma yoyote ya kimatibabu.
Kwanini Tunduma? Bendi yao ya Rungwe ilikuwa na ziara katika miji kadhaa ya...

Vijimambo

Read more


Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani