Mama aua mwanawe kwa sumu
MKAZI wa Chuo, tarafa ya Shimbi Kwandele wilayani Rombo, Kilimanjaro, Fidensia Salvatory (27) anashikiliwa na Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumuua kwa kumnywesha sumu mwanawe wa miezi sita kwa madai ya kukerwa na wakwe zake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Dec
Aua mama mkwe, mwanawe naye ajiua
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
10 years ago
CloudsFM04 Dec
NEWS: AUA MAMA MKWE, MWANAWE NAYE AJIUA
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
Pia amemjeruhi mkewe kabla ya kujiua kwa kujichoma na kisu tumboni, kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema tukio hilo ni la Jumamosi iliyopita.
Waliouawa walitajwa kuwa ni Sarah Mango wa miaka kati ya 60 na 70 na mtoto, Amina Jumanne mwenye umri wa miaka miwili,...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Baba aua mwanawe chekechea
MTOTO mwenye umri wa miaka saba, mjini Tunduma wilayani Momba, ameuawa kwa kushambuliwa kwa kipigo na baba yake mzazi akimtuhumu kwa uzururaji.
11 years ago
Habarileo16 Mar
Albino aua mwanawe, amchuna ngozi
POLISI mkoani Singida inawashikilia wanawake wawili, mmoja wao akiwa mlemavu wa ngozi `albino’, kwa tuhuma ya kuua na kumchuna ngozi mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu.
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mama amuua mwanawe kwa mpini
MKAZI wa Tagamenda nje kidogo ya Manispaa ya Iringa, Habiba Swedi (31), amewafanyia wanawe wawili ukatili wa kutisha kwa kumponda mmoja wa miezi mitatu hadi kumsababishia kifo, huku mwingine wa miaka saba akijeruhiwa vibaya.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Mama na mwanawe wauawa kwa mapanga
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Mama amuua mwanawe kwa mpini wa jembe
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MWANAMKE mmoja, Habiba Swedi (21), mkazi wa Kijiji cha Tagamenda, Mkoa wa Iringa, amemuua mtoto wake wa miezi mitatu, Christina Kalolo kwa kumpiga mpini wa jembe.
Pia, mwanamke huyo alimjeruhi mtoto wake wa miaka saba, Grace Kalolo kwa kumpiga na mpini huo.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana asubuhi nyumbani kwa mwanamke huyo.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Baba mzazi wa watoto hao, Bosco Kalolo,...
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Je ni kwa nini mama huyu alimuoa binti mwenye umri wa mwanawe?
10 years ago
Habarileo17 Oct
Mama, mwanawe wachinjwa
WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya Shinyanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni imani za kishirikina.