Mama amuua mwanawe kwa mpini wa jembe
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MWANAMKE mmoja, Habiba Swedi (21), mkazi wa Kijiji cha Tagamenda, Mkoa wa Iringa, amemuua mtoto wake wa miezi mitatu, Christina Kalolo kwa kumpiga mpini wa jembe.
Pia, mwanamke huyo alimjeruhi mtoto wake wa miaka saba, Grace Kalolo kwa kumpiga na mpini huo.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana asubuhi nyumbani kwa mwanamke huyo.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Baba mzazi wa watoto hao, Bosco Kalolo,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mama amuua mwanawe kwa mpini
MKAZI wa Tagamenda nje kidogo ya Manispaa ya Iringa, Habiba Swedi (31), amewafanyia wanawe wawili ukatili wa kutisha kwa kumponda mmoja wa miezi mitatu hadi kumsababishia kifo, huku mwingine wa miaka saba akijeruhiwa vibaya.
11 years ago
Habarileo03 Mar
Amuua mwanawe kwa kumpiga nyundo kichwani
MCHINJA nguruwe katika Kitongoji cha Sokoni Mji mdogo wa Sirari, Tarime Ezekiel Magige (39) amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime baada ya kupigwa mawe na wananchi wenye hasira kali.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Diwani Muhidini Bunaya Sanya aka "JEMBE LA MPINI WACHUMA' wa Kata ya Kimbiji apeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
11 years ago
BBCSwahili28 May
Baba amuua mwanawe wa kike Pakistan
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mama aua mwanawe kwa sumu
MKAZI wa Chuo, tarafa ya Shimbi Kwandele wilayani Rombo, Kilimanjaro, Fidensia Salvatory (27) anashikiliwa na Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumuua kwa kumnywesha sumu mwanawe wa miezi sita kwa madai ya kukerwa na wakwe zake.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Mama na mwanawe wauawa kwa mapanga
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Je ni kwa nini mama huyu alimuoa binti mwenye umri wa mwanawe?
10 years ago
Habarileo17 Oct
Mama, mwanawe wachinjwa
WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya Shinyanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni imani za kishirikina.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Mama na mwanawe waagizwa kurudi London