Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba amuua mwanawe wa kike Pakistan

Mwanamke amepigwa mawe na familia yake wakiwemo babake na ndugu zake wa kiume hadi kufariki kwa kuolewa na mtu wasiomkubali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Romina Ashrafi: Baba amkatakata na kumuua mwanawe wa kike kwa kufunga ndoa kisiri Iran

Adhabu ya kina baba wanaowaua wanao Iran ni kati ya miaka 3 hadi 10

 

10 years ago

Habarileo

Mama amuua mwanawe kwa mpini

MKAZI wa Tagamenda nje kidogo ya Manispaa ya Iringa, Habiba Swedi (31), amewafanyia wanawe wawili ukatili wa kutisha kwa kumponda mmoja wa miezi mitatu hadi kumsababishia kifo, huku mwingine wa miaka saba akijeruhiwa vibaya.

 

11 years ago

Habarileo

Amuua mwanawe kwa kumpiga nyundo kichwani

MCHINJA nguruwe katika Kitongoji cha Sokoni Mji mdogo wa Sirari, Tarime Ezekiel Magige (39) amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime baada ya kupigwa mawe na wananchi wenye hasira kali.

 

10 years ago

Mtanzania

Mama amuua mwanawe kwa mpini wa jembe

NA RAYMOND MINJA, IRINGA

MWANAMKE mmoja, Habiba Swedi (21), mkazi wa Kijiji cha Tagamenda, Mkoa wa Iringa, amemuua mtoto wake wa miezi mitatu, Christina Kalolo kwa kumpiga mpini wa jembe.

Pia, mwanamke huyo alimjeruhi mtoto wake wa miaka saba, Grace Kalolo kwa kumpiga na mpini huo.

Tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana asubuhi nyumbani kwa mwanamke huyo.

Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Baba mzazi wa watoto hao, Bosco Kalolo,...

 

11 years ago

Habarileo

Baba aua mwanawe chekechea

MTOTO mwenye umri wa miaka saba, mjini Tunduma wilayani Momba, ameuawa kwa kushambuliwa kwa kipigo na baba yake mzazi akimtuhumu kwa uzururaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba amtupa mwanawe ndani ya maji

Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.

 

11 years ago

Habarileo

Baba mzazi ampa ujauzito mwanawe

MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.

 

11 years ago

Habarileo

Baba amnyonga mwanawe wa mwaka na miezi 7

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed MsangiMTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba, Henry Juma, amenyongwa na baba yake mzazi hadi kufa na kisha mwili wake kulazwa kitandani na mtuhumiwa kutokomea kusikojulikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba ajiua kutokana na picha za mwanawe

Baba mmoja amejiua baada ya kuona picha za mwanawe wa kike akiwa uchi katika jarida la Playboy nchini Romania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani