Baba ajiua kutokana na picha za mwanawe
Baba mmoja amejiua baada ya kuona picha za mwanawe wa kike akiwa uchi katika jarida la Playboy nchini Romania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Dec
Aua mama mkwe, mwanawe naye ajiua
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
10 years ago
CloudsFM04 Dec
NEWS: AUA MAMA MKWE, MWANAWE NAYE AJIUA
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
Pia amemjeruhi mkewe kabla ya kujiua kwa kujichoma na kisu tumboni, kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema tukio hilo ni la Jumamosi iliyopita.
Waliouawa walitajwa kuwa ni Sarah Mango wa miaka kati ya 60 na 70 na mtoto, Amina Jumanne mwenye umri wa miaka miwili,...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Baba aua mwanawe chekechea
MTOTO mwenye umri wa miaka saba, mjini Tunduma wilayani Momba, ameuawa kwa kushambuliwa kwa kipigo na baba yake mzazi akimtuhumu kwa uzururaji.
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Baba amtupa mwanawe ndani ya maji
11 years ago
Habarileo08 Aug
Baba mzazi ampa ujauzito mwanawe
MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.
11 years ago
Habarileo25 Mar
Baba amnyonga mwanawe wa mwaka na miezi 7
MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba, Henry Juma, amenyongwa na baba yake mzazi hadi kufa na kisha mwili wake kulazwa kitandani na mtuhumiwa kutokomea kusikojulikana.
11 years ago
BBCSwahili28 May
Baba amuua mwanawe wa kike Pakistan
11 years ago
Bongo526 Jul
Picha: Si Baba Malcom tu, Nikki Mbishi sasa ni Baba Nathan pia!!
5 years ago
BBCSwahili28 May
Romina Ashrafi: Baba amkatakata na kumuua mwanawe wa kike kwa kufunga ndoa kisiri Iran