Binti nusura ajiue kwa sumu
Polisi mkoani Tanga, inamshikilia mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Old Tanga (16), (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za kutaka kujiua kwa sumu baada ya jaribio la baba yake mdogo kumbaka kushindikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-k71jSit-lPpoMdA3Tme9A156BOtxAXoieun5anJteI8ZM0bkYlcfwq3I7YOwN6Nc2dvMuP537oABkAGh-*l3YN/FRONTI.jpg)
BINTI WA PROFESA AUAWA KWA SUMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS5dSHJUaP5z0vB0Jpriu5Jsc6Iq2MbwAc5U2Wxth9QhjFYfkZo1fYF5n83cu0xcCS3oL*BqoD2bz7AmMahK88SP/2.gif)
BINTI NUSURA ABAKWE, AKATWA MAPANGA
11 years ago
Bongo Movies15 Jul
Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.
Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...
10 years ago
GPL03 Feb
GLOBAL TV ONLINE: KIJANA NUSURA AUAWE KWA WIZI, MAMA YAKE AINGILIA KATI
10 years ago
Habarileo01 Oct
Mume ajiua kwa sumu ukweni
MFANYABIASHARA wa mjini Tarime mkoani Mara, Wilson Weso maarufu Kishimba (34) amekufa kwa kile alichodaiwa amekunywa sumu nyumbani kwa baba mkwe wake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avrXzm08GwqemSc1ug8c3HY-q*f8IOg4u6Gc879AcM8dwY2i2hmcgLsTEMdM9wWe9aDAyeXUbSnLlZcK5uKvjkoe/1048004_554434027953116_1424099829_o.jpg?width=650)
MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mama aua mwanawe kwa sumu
MKAZI wa Chuo, tarafa ya Shimbi Kwandele wilayani Rombo, Kilimanjaro, Fidensia Salvatory (27) anashikiliwa na Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumuua kwa kumnywesha sumu mwanawe wa miezi sita kwa madai ya kukerwa na wakwe zake.
10 years ago
Vijimambo01 Nov
Simba saba wauawa kwa sumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507220/highRes/865179/-/maxw/600/-/opxkdcz/-/simba.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Feb
Hausigeli afa kwa kunywa sumu
MFANYAKAZI wa ndani aliyetambuliwa kwa jina la Debora Makenda (18), amekufa baada ya kunywa sumu, ambayo ni dawa ya kuoshea mifugo.