Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BINTI WA PROFESA AUAWA KWA SUMU

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
WAKATI Wakristo kote nchini wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, keshokutwa Alhamisi, baadhi ya familia zipo kwenye majonzi mazito kufuatia kuondokewa na ndugu zao, Uwazi lina kisa cha kuumiza. Marehemu Neema Malimbwi enzi za uhai wake. Jijini Dar es Salaam, binti mbichi aliyejulikana kwa jina la Neema Malimbwi (pichani) ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo cha Kodi Tanzania...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Binti nusura ajiue kwa sumu

Polisi mkoani Tanga, inamshikilia mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Old Tanga (16), (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za kutaka kujiua kwa sumu baada ya jaribio la baba yake mdogo kumbaka kushindikana.

 

10 years ago

GPL

MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI

Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake. Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita. Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo,...

 

10 years ago

Vijimambo

MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI, MZAZI AOMBA MSAADA WA NAULI KWENDA KUMZIKA MWANAE


Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake.
Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi
MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita.

Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo, aliwasiliana nao kwa njia ya simu mara kwa mara na walipata taarifa za kifo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Binti wa miaka 19 auawa Detroit

Jaji nchini Marekani amemhukumu kifungo cha miaka kumi na saba jela,mwanaume kwa kosa la kumpiga risasi na kumuua mwanamke mweusi

 

10 years ago

GPL

BINTI MIAKA 8 ABAKWA, AUAWA, ATUPWA!

Stori: Emanuel Madafa,Mbeya
Inauma sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Ruanda Nzovwe jijini hapa, Elika Mkumbwa mwenye umri wa miaka 8 anadaiwa kubakwa, kuuawa na kutupwa kwenye jumba bovu (pagale) eneo la Mtaa wa Ilomba Village. Makamanda wa Polisi wakiutoa mwili wa mtoto, Elika Mkumbwa kutoka kwenye  jumba bovu.
Akizungumzia tukio hilo lililojiri hivi karibuni,...

 

10 years ago

Michuzi

PROFESA SAID AHMED MUHAMMED APOKEA NAKALA YA ‘PAKA WA BINTI HATIBU’

- Naye akabidhi nakala ya kitabu chake kipya kiitwacho; ‘KAMWE SI MBALI TENA’ Profesa Said Ahmed Muhammed (aliyevaa miwani) akimpa nasaha mwandishi wa ‘Paka wa Binti Hatibu’ Bwana Yussuf Shoka Hamad. Profesa Said Ahmed Muhammed akipokea nakala ya ‘Paka wa Binti Hatibu’ kutoka kwa mwandishi wa kitabu hicho Bwana Yussuf Shoka Hamad.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Michuzi

Profesa Abdillatif Abdalla amtemeblea ‘Paka wa Binti Hatibu’ jijini London

Na: A. Othman
Mshairi nguli na mwalimu mzoefu wa Kiswahili ambaye pia ni mwanasiasa mkongwe kutoka nchini Kenya, Bwana Abdilatif Abdalla amemtembelea mwandishi chipukizi kutoka Zanzibar, Bwana Yussuf Shoka ofisini kwake jijini London mapema wiki hii. Katika ziara yake hiyo fupi Bwana Abdalla alifanya mazungumzo mafupi na mwandishi huyo kuhusu kitabu chake kipya cha ‘Paka wa Binti Hatibu’.
Gwiji huyo ambaye ametumia muda mwingi kufundisha Kiswahili nchini Uingereza na Leipzig, Ujerumani...

 

11 years ago

Bongo Movies

Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.

Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani