Binti wa miaka 19 auawa Detroit
Jaji nchini Marekani amemhukumu kifungo cha miaka kumi na saba jela,mwanaume kwa kosa la kumpiga risasi na kumuua mwanamke mweusi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wH1dAkSgA3AnJjLfz55wJHjzrkoRp6dEqLDNeoiu4Dg4j5Rr-n0Ixxsf7Bznzh129na-OW*8dgmx9EuKktdW0j2/bint.jpg)
BINTI MIAKA 8 ABAKWA, AUAWA, ATUPWA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-k71jSit-lPpoMdA3Tme9A156BOtxAXoieun5anJteI8ZM0bkYlcfwq3I7YOwN6Nc2dvMuP537oABkAGh-*l3YN/FRONTI.jpg)
BINTI WA PROFESA AUAWA KWA SUMU
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyEN*hGdDGxZ8VImMZdOrdLWMAVYMadMsdJfoxuAkHWN*reTbft0LRXr6LPbwldTx8GTXz2q3PI8Yq6wZXvvlAG/Lulu.jpg?width=650)
BINTI MIAKA 14 ASUTWA KWA UTAPELI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NC-SjOnOt3x99ZlK81uLU-izWj1n2kURB6T5pI5dKStoYYrY-F0yXBikcnmm3DYISqDRqn6-QLis96S1axrq4-/freemason.jpg?width=650)
BINTI MIAKA 16 ATOA SIRI ZA FREEMASON
10 years ago
Habarileo02 Mar
Wazazi waliooza binti wa miaka 10 kortini
WAZAZI wa mtoto mwenye umri wa miaka 10 aliyeozwa kwa siri wilayani Bahi, katika Mkoa wa Dodoma, wanafikishwa mahakamani leo kujibu mashitaka yanayowakabili.
11 years ago
Habarileo13 Jul
Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.
11 years ago
Habarileo13 Feb
Dada amsaidia kaka kunajisi binti wa miaka 12
MKAZI wa mtaa wa Tambukareli wilayani Mpanda, Helen Simon (20) anashikiliwa Polisi na kaka yake, Afred Mnyonge (24) kwa tuhuma za kumsaidia kaka huyo kumnajisi msichana jirani yao, mwenye umri wa miaka 12.
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Roda; binti aliyelipiwa kishika uchumba akiwa na miaka 15