Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Binti wa miaka 19 auawa Detroit

Jaji nchini Marekani amemhukumu kifungo cha miaka kumi na saba jela,mwanaume kwa kosa la kumpiga risasi na kumuua mwanamke mweusi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BINTI MIAKA 8 ABAKWA, AUAWA, ATUPWA!

Stori: Emanuel Madafa,Mbeya
Inauma sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Ruanda Nzovwe jijini hapa, Elika Mkumbwa mwenye umri wa miaka 8 anadaiwa kubakwa, kuuawa na kutupwa kwenye jumba bovu (pagale) eneo la Mtaa wa Ilomba Village. Makamanda wa Polisi wakiutoa mwili wa mtoto, Elika Mkumbwa kutoka kwenye  jumba bovu.
Akizungumzia tukio hilo lililojiri hivi karibuni,...

 

10 years ago

GPL

BINTI WA PROFESA AUAWA KWA SUMU

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
WAKATI Wakristo kote nchini wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, keshokutwa Alhamisi, baadhi ya familia zipo kwenye majonzi mazito kufuatia kuondokewa na ndugu zao, Uwazi lina kisa cha kuumiza. Marehemu Neema Malimbwi enzi za uhai wake. Jijini Dar es Salaam, binti mbichi aliyejulikana kwa jina la Neema Malimbwi (pichani) ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo cha Kodi Tanzania...

 

9 years ago

StarTV

Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)

Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo  kutokana na  upelelezi  wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...

 

10 years ago

GPL

BINTI MIAKA 14 ASUTWA KWA UTAPELI

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Binti wa miaka (14) aliyefahamika kwa jina la Latifa amejikuta akisutwa kwa utapeli baada ya kunaswa na OFM akijifanya ni mtoto asiye na wazazi wala ndugu wa kumsaidia.Binti huyo aliwasimulia waandishi wetu kuwa baba yake alimtelekeza kwa majirani huko Dodoma maeneo ya Kibaigwa kwa kile alichodai kuwa baba yake alikuwa na madeni yaliyosababisha mali zake kupigwa mnada na yeye kusakwa ndiyo...

 

11 years ago

GPL

BINTI MIAKA 16 ATOA SIRI ZA FREEMASON

Na Waandishi Wetu NI lipi hujasikia? Linaweza kuwa hili! Binti mmoja aliyetambulishwa kwa jina la  Fauzia (jina la mbele lipo), mwenye umri wa miaka 16, mkazi wa Kigogo jijini Dar amedai kutumikia nafasi ya umalkia katika imani yenye utata duniani ya Freemason, Uwazi linakudondoshea. Binti Fauzia akiwa amepozi nyumbani kwao maeneo ya Kigogo jijini Dar es Salaam. Binti huyo alikwenda mbele zaidi kwa kudai kwamba ili kujiunga...

 

10 years ago

Habarileo

Wazazi waliooza binti wa miaka 10 kortini

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWAZAZI wa mtoto mwenye umri wa miaka 10 aliyeozwa kwa siri wilayani Bahi, katika Mkoa wa Dodoma, wanafikishwa mahakamani leo kujibu mashitaka yanayowakabili.

 

11 years ago

Habarileo

Binti wa miaka 10 abakwa na wanaume 2 kwa zamu

JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka msichana wa miaka 10 , mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi Luhekitiki wilayani humo.

 

11 years ago

Habarileo

Dada amsaidia kaka kunajisi binti wa miaka 12

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariMKAZI wa mtaa wa Tambukareli wilayani Mpanda, Helen Simon (20) anashikiliwa Polisi na kaka yake, Afred Mnyonge (24) kwa tuhuma za kumsaidia kaka huyo kumnajisi msichana jirani yao, mwenye umri wa miaka 12.

 

10 years ago

Mwananchi

Roda; binti aliyelipiwa kishika uchumba akiwa na miaka 15

“Natamani kuondoka eneo hili lenye mila na desturi nyingi potofu zinazoninyima haki, sina amani hata kidogo na moyoni mwangu sioni nuru ya maisha yangu”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani