MREMBO AMCHOMA VISU MBONGO SAUZI

Stori: Mayasa Mariwata na Shani ramadhani WIVU wa mapenzi bwana! Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la David Patrick Chagu (pichani) aliyekuwa akiishi Jimbo la George nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ amekumbwa na mauti kwa kuchomwa visu na mpenziwe aliyefahamika kwa jina moja la Monica. Waombolezaji na mama wa marehemu, Rose Ndunguru (wa pili kulia) wakiwa katika hali ya simanzi. Tukio hilo lilitokea Oktoba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
BODABODA AMCHOMA VISU MWENZAKE, AMUUA!
10 years ago
GPL
MREMBO MBONGO AFIA CHINA!
10 years ago
GPL
WATANO WAUAWA KWA VISU JAPAN
10 years ago
GPLMASTAA WADOGO ‘VISU’ WALIOTIKISA WAKONGWE!
11 years ago
GPL
MAUAJI SIKUKUU! MCHUMBA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
10 years ago
Vijimambo24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala

By Pamela Chilongola, Mwananchi
Dar es Salaam. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa moja usiku katika eneo la Magomeni Usalama na Mahona aliuawa kwa kushambuliwa na wananchi baada ya...
11 years ago
GPL
AMCHOMA MUMEWE KISA WIVU WA MAPENZI
10 years ago
GPL
MWANAFUNZI AMCHOMA KISU DEREVA DALADALA!