BODABODA AMCHOMA VISU MWENZAKE, AMUUA!
![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0ntWI8hR2Fq*F4UFbsAER*Bt7KbSyb6Blg2gRKZrvTGdR0V-rNVm3iPl7gAkNBT0JffVREB5ONi2RR*DgJJX0Qo/bodaboda.jpg)
Stori: Andrew Carlos DEREVA bodaboda mmoja aliyefahamika kwa jina la Seleman amedaiwa kumchoma visu mwilini dereva mwenzake wa aliyefahamika kwa jina la Panya Road na kumsababishia kifo. Dereva bodaboda anayefahamika kwa jina la Seleman (mwenye flana) akimshambulia kwa visu mwilini dereva mwenzake anayefahamika kwa jina la Panya Road. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo la kusikitisha lilitokea Jumatano iliyopita asubuhi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq1UVOudzbN6t1swSae1hGf4tnkSZcvT6vuy9PJfL3BRoAUaJoRJ8F5QzqyVnoEvxy3954hq6SNhr6LEUwUqyJri/MREMBOVISU.jpg)
MREMBO AMCHOMA VISU MBONGO SAUZI
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Amuua utingo mwenzake
MKAZI wa Temeke, Abdallah Killiah, ambaye ni Utingo, amefariki dunia baada ya kugongwa na gari la mizigo lililokuwa likiendeshwa na utingo baada ya dereva wake kuliacha na kufuatilia kontena kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pLu1zsKhK*Pa4fSS07MKQIzGviECZyZFMQ38TcB9YoyYHC0m8SWJPPdB3f3kcNsH*ntTlR9LYUzliPgrsXYNA5r/mgonjwa.gif)
MGONJWA AMUUA MWENZAKE WODINI
11 years ago
Habarileo18 Feb
Amuua mwenzake wakigombea 10,000/-
MKAZI wa Kijiji cha Nyangoto Nyamongo Tarafa ya Ingwe Tarime mkoani Mara, Mwita Samson (23) ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali na Munyaru Waigama katika ugomvi wa kugombea Sh 10,000.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Amuua mwenzake wakigombea sigara
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdPi5-wWKN0gwsCMpelk6VgALoX*aEDsoCTjsJbpzo*ZHQ56RAs5I0--IQzZs5Hg8rSIb*p2m0K3Vq3seyNPlFvy/bodabodaz1.jpg)
DEREVA BODABODA MBARONI KWA KUMNG’ATA MWENZAKE MDOMO NA KUONDOKA NAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosYoR2kpZTxHV-7TBdLWUKln6O8MDjvBkrQF7TFeyiY13R*rklGrv09x5XH7eZ*ymQwVq-HdTC6zOefOdDPkWoHB/JapanStabbingSpree.jpg?width=650)
WATANO WAUAWA KWA VISU JAPAN
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
10 years ago
Vijimambo24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2805486/highRes/1069784/-/maxw/600/-/qejcs8z/-/pic_kisu.jpg)
By Pamela Chilongola, Mwananchi
Dar es Salaam. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa moja usiku katika eneo la Magomeni Usalama na Mahona aliuawa kwa kushambuliwa na wananchi baada ya...