Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amuua utingo mwenzake

MKAZI wa Temeke, Abdallah Killiah, ambaye ni Utingo, amefariki dunia baada ya kugongwa na gari la mizigo lililokuwa likiendeshwa na utingo baada ya dereva wake kuliacha na kufuatilia kontena kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MGONJWA AMUUA MWENZAKE WODINI

Joseph Ngilisho, Arusha
MAAJABU! Katika hali isiyo ya kawaida mgonjwa aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, akisumbuliwa na maradhi ya mguu, Hashimu Mohammed Mollel (28), (pichani) mkazi wa Lemala, Arusha amemuua mgonjwa mwenzake aliyelazwa naye, Lazaro Mollel (75) kwa kumpiga na chuma cha kutundikia dripu. Mgonjwa Hashimu Mohammed Mollel (28) anayetuhumiwa kumuua mgonjwa mwenzake, Lazaro Mollel (75) aliyelazwa...

 

11 years ago

Habarileo

Amuua mwenzake wakigombea 10,000/-

MKAZI wa Kijiji cha Nyangoto Nyamongo Tarafa ya Ingwe Tarime mkoani Mara, Mwita Samson (23) ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali na Munyaru Waigama katika ugomvi wa kugombea Sh 10,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Amuua mwenzake wakigombea sigara

Uvutaji wa sigara umeleta maafa, baada ya mtu mmoja kukatwa mkono na kuuawa na mwenzake wakati wakigombea sigara.

 

10 years ago

GPL

BODABODA AMCHOMA VISU MWENZAKE, AMUUA!

Stori: Andrew Carlos
DEREVA bodaboda mmoja aliyefahamika kwa jina la Seleman amedaiwa kumchoma visu mwilini dereva mwenzake wa aliyefahamika kwa jina la Panya Road na kumsababishia kifo. Dereva bodaboda anayefahamika kwa jina la Seleman (mwenye flana) akimshambulia kwa visu mwilini dereva mwenzake  anayefahamika kwa jina la Panya Road. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo la kusikitisha lilitokea Jumatano iliyopita asubuhi...

 

11 years ago

GPL

DEREVA, UTINGO WADAIWA KUCHOMA MOTO GARI

Stori: Francis Godwin, Iringa
Kumbe! Siri imefichuka sababu ya malori ya mizigo na mafuta kuungua moto baada ya jeshi la polisi mkoani hapa kuwashikilia watu sita akiwemo dereva na utingo wa lori aina ya Scania, mali ya Kampuni ya Dandu wakidaiwa kuchoma moto lori hilo. Dereva na utingo wa lori aina ya Scania, mali ya Kampuni ya Dandu wakidaiwa kuchoma moto lori hilo. Ilidaiwa kwamba jamaa hao wakazi wa Mbeya walifanya hivyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali ya Hiace huko Tukuyu Mbeya: Abiria zaidi ya 20 wapoteza maisha, Utingo pekee anusurika

10922724_829508153786790_3340266182117985523_n

 

Baadhi ya miili ya walipoteza maisha kwenye ajali ya gari aina ya Hiace iliyopinduka Mtoni, ikiwa imefunikwa baada ya kuopolewa na wasamaria wema huko,  eneo la Uwanja wa Ndege, Kiwira Kyela.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

“Tuamke na Mungu, tutembee na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwa sasa kufuatia hali ya ajali za mara kwa mara zinazotokea ndani ya nchi yetu”.

Asubuhi ya leo huko Tukuyu Mkoani Mbeya imeripotiwa ajali mbaya ya Hiace iliyoua takribani watu zaidi ya 20, eneo la...

 

11 years ago

Michuzi

MAJANGA TENA IRINGA: DEREVA NA UTINGO WAJIIBIA MALI WALIZOKUWA WAKISAFIRISHA KWENDA KONGO,WACHOMA LORI LILILOKUWA NA MZIGO HUO

Watuhumiwa wa  wizi wa mali  zilizokuwa  zikisafirishwa na lori la kampuni ya Dandu  Hili ndilo lori  lililokuwa na mali  hizo  chini kukiwa na ubichi wa mafuta  ya taa yaliyomwagwa ili  kulilipua lori hilo bila mafanikio  Mwonekano wa lori hilo kwa ndani baada ya mali zote  kuhamishwa  Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Afande Ramadhan Mungi akionesha  lori hilo mali ya kampuni ya Dandu ambalo limechomwa moto na dereva na utingo wake baada ya  kufaulisha mali zote kwa lengo la...

 

10 years ago

GPL

KESI YA MSOFE NA MWENZAKE YAAHIRISHWA

KESI ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuahirishwa hadi Oktoba 13 mwaka huu kutokana na uchunguzi kutokamilika.  Msofe na Makongoro wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya Onesphory Kitoli. Kesi hiyo imetajwa chini ya  Hakimu Mkazi Hellen Riwa  Papa Msofe (katikati) akishuka...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM).
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.

Alisema hayo wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani