MASTAA WADOGO ‘VISU’ WALIOTIKISA WAKONGWE!
Staa wa Bongo, Wema Sepetu. Na Mwandishi wetu Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo utakubaliana na mimi kwamba, wapo mastaa wa kike ambao wana maumbile madogo na umri wao ni mdogo pia lakini ni wakali ‘visu’ kiasi cha kuwakosesha amani mastaa wakubwa. Yaani kimaumbile unaweza kusema ni watoto flani hivi lakini cha ajabu mambo yao ni makubwa na wanamudu kuwaweka viganjani wanaume wenye midevu yao na wakatulia. ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Mastaa waliotikisa kwa skendo za mapenzi 2015
Mladness Mallya
MWAKA unaelekea ukingoni, kuna mengi yametokea ndani ya mwaka huu wa 2015 katika jamii yakiwemo mazuri na mabaya.
Kama ilivyo kawaida katika ulimwengu wa mastaa hakukosekani vituko vya hapa na pale, leo katika makala haya tunakuletea mastaa mbalimbali waliotikisa kwa skendo za mapenzi, yaani waliokuwa na misuguano na wengine kutajwa kubadili wapenzi kila kukicha.
DIAMOND NA ZARI
Staa huyu wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari,’...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Peter-Okoye-Lola-Okoye.jpg)
MASTAA WA KIUME WENYE MADEMU ‘VISU’ ZAIDI AFRIKA
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Wanawake 22 waliotikisa majimboni
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Kampeni ya GROW yaendesha mdahalo wa kuhamasisha wakulima wadogo wadogo wanawake
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0AEqUsFVPPk/U2rqs0siQdI/AAAAAAAA-bE/-F-_grJSfUQ/s72-c/magori.jpg)
NSSF YATOA SEMINA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA WAMADINI-MWANZA
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Pinda akabidhi fedha za ruzuku kwa wachimbaji wadogo wadogo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Bw. Juma Digalu wa Kampuni ya Uchimbaji Mdini ya Mwalazi, hudndi ya Dola za Marekani 50,000 akiwa ni mmoja ni mmoja wa wachimbaji madini wadogowadogo waliopatiwa ruzuku na serikali kupitia Benki ya TIB. Hafla ya kukabidhi hundi hizo ilifnyika kwenye Chuo cha Madini cha Dodoma Aprili 9, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nisahati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Stephen Masele na Kulia ni...
10 years ago
VijimamboTBL YAANZISHA PROGRAMU YA MAFUNZO YA KUENDELEZA WAUZAJI WADOGO WADOGO WA VINYWAJI VYAO NCHINI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--4A5Xuf5zcI/VlLE7umcwiI/AAAAAAAIH6I/Z9ZxQRGW2AA/s72-c/72dd4ee1-092f-4199-bb9d-0dc02687ea98.jpg)
Airtel Fursa yawafikia wajasiliamali wadogo wadogo Dodoma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BENKI YA DUNIA YAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA