Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimbaji sita wa mgodi watoka shimoni

Wachimbaji sita waliokuwa wamenasa shimboni nchini Afrika kusini watoka shimoni na kukwepa kukamatwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MGODI WA IRASANIRO WAUWA WACHIMBAJI WADOGO

Waziri wa Madini Doto Biteko akiwa kwenye mgodi wa Irasaniro Buhemba akizungumza nao kuhusu mambo mbalimbali kuhusu shuguli za uchimbaji na matukio ya vifo kwenye mgodi.Mchimbaji mdogo wa Madini Paulo Ayuke akitoa kero kwa Waziri wa Madini Doto Biteko alipotembelea kwenye mgodi wa Irasaniro Buhemba.Waziri wa Madini Doto Biteko na viongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wachimbaji wadogo waomba eneo la mgodi

WACHIMBAJI wadogo wa dhahabu katika machimbo madogo ya Mwanshina katika Kijiji cha Nhobola wilayani Nzega mkoani Tabora, wameiomba serikali kuwapatia kibali cha kuchimba dhahabu pembezoni mwa mgodi mkubwa wa Resolute...

 

11 years ago

Bongo5

Ray C aokoe wanaokaribia kutumbukia shimoni, awaache walio shimoni tayari?

Harakati za Rehema Chalamila aka Ray C ama ‘kiuno bila mfupa’ kama alivyokuwa akijulikana zamani za kukiokoa kizazi kipya cha vijana wa Tanzania dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, zinakumbana na majaribu mazito. Tangu muimbaji huyo wa zamani aokoke kutoka katika shimo la umauti lililojichimba kutokana na kuathirika kwake na dawa hizo kiasi cha […]

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA ATEMBELEA MGODI WA MGUSU ULIOKABIDHIWA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Peter Malebo Mjumbe wa Kamati ya Mgusu Miners Co. Oparative Society Limited jinsi mchanga unavyosafishwa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndug Kinana leo amehitimisha ziara yake ndani ya mkoa wa Geita kwa kutembea kilometa 1680 kwa Gari,ametembelea Majimbo sita na Wilaya zake sita,huku akiwa amehutubia mikutano 78,mikutano 72 ya hadhara na mikutano 6 ya ndania.Ndugu Kinana ametembelea miradi 53 ya Maendeleo,miradi mitano ya CCM.Kama...

 

9 years ago

Mwananchi

Watoto watumbukia shimoni, wafa

Watoto wawili wamefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji ambalo lilichimbwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kusimika nguzo.

 

10 years ago

Mwananchi

Masatu: Simba imo shimoni

 Beki wa zamani wa Simba, George Masatu amesema viongozi wa klabu hiyo wameitumbukiza timu yao shimoni na sasa inasubiri kufukiwa kutokana na kutokuwa na uamuzi na misingi mizuri ya timu kwa kuruhusu kutawaliwa na wachezaji wa kigeni.

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afia chooni, mwingine shimoni

WATOTO wawili wamekufa mkoani hapa, mmoja kwa kutumbukia chooni na mwingine kwa kuzama kwenye shimo lililokuwa na maji. Katika tukio la kwanza, mtoto John Mwapwani (3) alitumbukia chooni alipokwenda kujisaidia katika Mtaa wa Skanda, Kata ya Chemchem, Manispaa ya Tabora.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kumfukia mtoto shimoni

FAIDA Mohammed Salum (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga aliyejifungua siku moja tu na kumfukia shimoni eneo la Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara shimoni Kariakoo walilia taa

WAFANYABIASHARA wa soko kuu la Kariakoo eneo la shimoni, wameutaka uongozi wa soko hilo kuboresha miundombinu ya taa na viyoyozi ili kunusuru afya zao. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani