Wachimbaji wadogo waomba eneo la mgodi
WACHIMBAJI wadogo wa dhahabu katika machimbo madogo ya Mwanshina katika Kijiji cha Nhobola wilayani Nzega mkoani Tabora, wameiomba serikali kuwapatia kibali cha kuchimba dhahabu pembezoni mwa mgodi mkubwa wa Resolute...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA ATEMBELEA MGODI WA MGUSU ULIOKABIDHIWA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s640/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndug Kinana leo amehitimisha ziara yake ndani ya mkoa wa Geita kwa kutembea kilometa 1680 kwa Gari,ametembelea Majimbo sita na Wilaya zake sita,huku akiwa amehutubia mikutano 78,mikutano 72 ya hadhara na mikutano 6 ya ndania.Ndugu Kinana ametembelea miradi 53 ya Maendeleo,miradi mitano ya CCM.Kama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NIaPi9jOXrI/XuO4Wzztq0I/AAAAAAALtoA/HHBGs5E6gb8UnQ4jQKVcALDc-vwqw_0nQCLcBGAsYHQ/s72-c/2708eb4a-aa37-43d6-8e83-cecb9fe2a1da.jpg)
MGODI WA IRASANIRO WAUWA WACHIMBAJI WADOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NIaPi9jOXrI/XuO4Wzztq0I/AAAAAAALtoA/HHBGs5E6gb8UnQ4jQKVcALDc-vwqw_0nQCLcBGAsYHQ/s640/2708eb4a-aa37-43d6-8e83-cecb9fe2a1da.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5f477e44-8a8d-4f0b-8f0f-bd124330f154.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/fea109ae-8d61-4c3e-9d4e-195e2876aaa0.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Wachimbaji wadogo waomba ruzuku
Na Angela Sebastian, Kyerwa
WACHIMBAJI wadogo wanaojihusisha na uchimbaji wa madini ya bati katika mgodi wa Nyaruzumbula, uliko kijijini Kabingo, wameiomba serikali kuwapatia ruzuku.
Lengo la ruzuku hiyo ni kutaka kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo bei ndogo ya madini hayo na utoroshwaji unaofanywa na wananchi wasiokuwa wazalendo.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya, Luten Kanali Benedict Kitenga, mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, alipofanya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DO641Iekr6Y/XpwxXfMQsRI/AAAAAAALnag/MNSpJSdkiukqotPO83HnaBNfWVWNYy7JgCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-Na-2AAA-1-768x512.jpg)
Wachimbaji Wadogo wa Madini Manyoni Waomba kupatiwa Umeme
![](https://1.bp.blogspot.com/-DO641Iekr6Y/XpwxXfMQsRI/AAAAAAALnag/MNSpJSdkiukqotPO83HnaBNfWVWNYy7JgCLcBGAsYHQ/s640/Picha-Na-2AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-Na-1-2-1024x683.jpg)
Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida, Mjiolojia Chone Malembo (kulia)akibadilishana mawazo na mmiliki wa mgodi wa Paulo Msalaba na Washirika, Martin Thomas (kushoto) katika machimbo ya dhahabu yaliyopo katika eneo la Londoni wilayani Manyoni mkoani Singida tarehe 18 Aprili, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-Na-3-1-1024x683.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Wachimbaji Geita waomba eneo jingine
WACHIMBAJI wadogo wanaochimba katika Kijiji cha Isamolo Kata ya Kamhanga wilayani Geita wameiomba Serikali kuwatafutia maeneo mengine kwani walilopewa halina dalili yoyote ya kupata dhahabu. Akizungumza na Waandishi wa Habari...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Serikali kuwapatia eneo wachimbaji wadogo Nzega
SERIKALI imeahidi wachimbaji wadogo katika mgodi mdogo wa dhahabu Mwanshina wilayani Nzega, mkoani Tabora kuwapatia leseni ya uchimbaji, ikiwemo kuwapatia eneo maalumu la kuchimba.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0AEqUsFVPPk/U2rqs0siQdI/AAAAAAAA-bE/-F-_grJSfUQ/s72-c/magori.jpg)
NSSF YATOA SEMINA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA WAMADINI-MWANZA
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Pinda akabidhi fedha za ruzuku kwa wachimbaji wadogo wadogo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Bw. Juma Digalu wa Kampuni ya Uchimbaji Mdini ya Mwalazi, hudndi ya Dola za Marekani 50,000 akiwa ni mmoja ni mmoja wa wachimbaji madini wadogowadogo waliopatiwa ruzuku na serikali kupitia Benki ya TIB. Hafla ya kukabidhi hundi hizo ilifnyika kwenye Chuo cha Madini cha Dodoma Aprili 9, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nisahati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Stephen Masele na Kulia ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BENKI YA DUNIA YAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA