Mangula kuutafuna mfupa uliomshinda 2005?
Phillip Mangula alipoteuliwa kuwa makamu mwenyekiti wa CCM (Bara), niliandika uchambuzi nikirejea miujiza katika Biblia nikistaajabu miujiza ya kurejeshwa ulingo wa siasa baada ya kupotea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Magufuli na mfupa uliomshinda fisi
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amekuja na ahadi ya kuanzisha mahakama maalumu ya kusikiliza kesi za rushwa na ufisadi.
11 years ago
MichuziMZIGO MZITO ULIOMSHINDA KOFI ANNAN WAMSHINDA BRAHIMI
Na Mwandishi Maalum
Ban Ki Moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kwa masikitiko makubwa ametangaza kukubali kwake kujiuzuru kwa mwakilishi maalum wa Umoja wa mataifa
na Muungano wa nchi za Kiarabu, Lakhdar Brahimi aliyekuwa akisimamia mazungumzo ya kutafuta Amani nchini Syria. Akitangaza mbele ya waandishi wa habari kuhusu kujiuzulu kwa Bw. Brahimi ambaye pia alikuwapo kwenye mkutano huo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema mwanadiplomasia huyo mzoefu ataachia wadhifa wake...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Ray C wa kiuno bila mfupa abadilika
Mwanamuziki wa siku nyingi, Ray C ametangaza kuwa atatoka mwezi huu, lakini akiwajulisha mashabiki wake kuwa safari hii ataweka nguvu zaidi kwenye uimbaji badala ya unenguaji, ambao ulimpa umaarufu.
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Mbaroni wakidaiwa kuuza mfupa wa albino milioni 3/-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe.
Jeshi la Polisi mkoani Kagera, limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mifupa ya viungo vya mwanamke mwenye ulemavu wa ngozi
(albino), Zeulia Justus, aliyefariki dunia mwaka 2006 baada ya kujifungua mtoto katika kijiji cha Rushwa Kata Mshabago Tarafa ya Nshamba Wilaya ya
Muleba, mkoani Kagera.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni James Lutozi (66) na Emmanuel Karoli (50), wakazi wa...
Jeshi la Polisi mkoani Kagera, limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mifupa ya viungo vya mwanamke mwenye ulemavu wa ngozi
(albino), Zeulia Justus, aliyefariki dunia mwaka 2006 baada ya kujifungua mtoto katika kijiji cha Rushwa Kata Mshabago Tarafa ya Nshamba Wilaya ya
Muleba, mkoani Kagera.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni James Lutozi (66) na Emmanuel Karoli (50), wakazi wa...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Uteuzi wabunge wa Katiba mfupa mgumu kwa JK
>Rais Jakaya Kikwete hataweza kukamilisha uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba katika muda wa wiki mbili kama ilivyokuwa imekadiriwa awali, kutokana na wingi wa majina yaliyopendekezwa kwa ajili ya uteuzi huo.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
CCM kutumia panga la 2005
Vigezo 13 vilivyowekwa na CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2005 kumpima mwanachama anayefaa kugombea urais, ndivyo vitakavyotumika kuwaengua makada wanaoendelea kujitokeza kuwania nafasi hiyo mwakani, imefahamika.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Je, historia ya mwaka 2005 itajirudia?
Wababe wa ligi kuu England Manchester United na Arsenal leo wanavaana katika uwanja wa Old Trafford katika hatua za robo fainali.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Viongozi wa dini wasiturejeshe 2005
BAADHI ya viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini wamejitwisha jukumu la kutaka kunusuru mchakato wa Bunge la Katiba kwa kujaribu kuwashawishi wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa),...
9 years ago
Bongo529 Sep
Ray C akirejesha kiuno chake kisicho na mfupa? (Picha)
Huenda jitihada za Ray C kukirejesha kiuno chake kisichokuwa na mfupa zimeanza kuzaa matunda! Kwa muda mrefu muimbaji huyo amekuwa akijaribu kuupunguza unene wake uliompoteza muonekano wake wa zamani uliompa sifa jukwaani na sasa picha zake mpya zinaonesha mafanikio. Muimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila, ameshare picha zake mpya kuonesha hatua aliyofikia. […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania