CCM kutumia panga la 2005
Vigezo 13 vilivyowekwa na CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2005 kumpima mwanachama anayefaa kugombea urais, ndivyo vitakavyotumika kuwaengua makada wanaoendelea kujitokeza kuwania nafasi hiyo mwakani, imefahamika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Panga pangua ya wabunge CCM
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekamilisha uteuzi wa wagombea ubunge wa majimbo na viti maalumu, huku baadhi ya wagombea walioshinda kwenye kura za maoni wakiachwa na kuchukuliwa walioshika nafasi ya pili na ya tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema kukamilika kwa kazi hiyo kunatoa fursa kwa wana CCM kujipanga na kuhakikisha wanarudisha umoja na mshikamano ili chama kiweze kushinda uchaguzi...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Panga la urais CCM kuhamia kwa wabunge
11 years ago
Mwananchi11 Feb
CCM yadaiwa kutumia migogoro kujiimarisha
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono
The post Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo28 Sep
Bulembo azuia Ukawa kutumia uwanja wa CCM
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Abdallah Bulembo amepiga marufuku uwanja wa jumuiya hiyo uliopo eneo la Milango Kumi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kutumika kwa mikutano ya kampeni za siasa kwa vyama vinavyounda umoja wa Ukawa kwani uwanja huo ni rasilimali ya wanaCCM.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Kortini kwa kutumia majina ya CCM, Chadema
11 years ago
Mwananchi19 Feb
CCM inaogopa nini kutumia rungu lake?