Panga pangua ya wabunge CCM
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekamilisha uteuzi wa wagombea ubunge wa majimbo na viti maalumu, huku baadhi ya wagombea walioshinda kwenye kura za maoni wakiachwa na kuchukuliwa walioshika nafasi ya pili na ya tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema kukamilika kwa kazi hiyo kunatoa fursa kwa wana CCM kujipanga na kuhakikisha wanarudisha umoja na mshikamano ili chama kiweze kushinda uchaguzi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Oct
Video: Colonel Mustafa Ft Brown Mauzo — Panga Pangua
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Panga pangua Ma-Dc: shabani Kisu, Mwakalebela, Makonda waula
10 years ago
Mwananchi16 Feb
MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Panga la urais CCM kuhamia kwa wabunge
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXs4lHk84xTVNJSD2hFTEvA-ipSI2hkrvdXA4LliQLSTjXpNfvA*iHCxj5ixbEwStCGC6Ndt-B67vknxVKfkliWZ/jk.jpg?width=650)
PANGUA PANGUA YA JK; WAZIRI AONEKANA KWA SANGOMA
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Pangua pangua Maliasili yaibua mapya
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM
10 years ago
Mwananchi31 Dec
CCM kutumia panga la 2005
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM