Pangua pangua Maliasili yaibua mapya
Wiki moja baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kupangua wakurugenzi wizarani hupo, baadhi ya askari wa wanyamapori wameibuka na kupinga uamuzi huo, huku wakitishia kufanya mgomo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXs4lHk84xTVNJSD2hFTEvA-ipSI2hkrvdXA4LliQLSTjXpNfvA*iHCxj5ixbEwStCGC6Ndt-B67vknxVKfkliWZ/jk.jpg?width=650)
PANGUA PANGUA YA JK; WAZIRI AONEKANA KWA SANGOMA
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Panga pangua ya wabunge CCM
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekamilisha uteuzi wa wagombea ubunge wa majimbo na viti maalumu, huku baadhi ya wagombea walioshinda kwenye kura za maoni wakiachwa na kuchukuliwa walioshika nafasi ya pili na ya tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema kukamilika kwa kazi hiyo kunatoa fursa kwa wana CCM kujipanga na kuhakikisha wanarudisha umoja na mshikamano ili chama kiweze kushinda uchaguzi...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Panga pangua Ma-Dc: shabani Kisu, Mwakalebela, Makonda waula
9 years ago
Bongo513 Oct
Video: Colonel Mustafa Ft Brown Mauzo — Panga Pangua
10 years ago
Mwananchi16 Feb
MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Tarehe ya Kura ya Maoni yaibua mapya
10 years ago
Habarileo16 Jul
Mauaji Stakishari yaibua mapya Polisi
JESHI la Polisi nchini jana liliwaaga kwa heshima zote za kijeshi askari wake wawili kati ya wanne waliouawa wakiwa katika kituo cha kazi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, huku likiahidi kufanya mapinduzi kadhaa ya kiutendaji.
9 years ago
MichuziTAFFA YAIBUA MAPYA YA UTOROSHAJI WA KONTENA
Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (Taffa), Stephen Ngatunga (kulia), akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na njia zinazotumika kuiba mapato ya serikali bandarini na katika Idara ya Forodha, Jijini Dar es Salaam jana. kushoto ni maofisa waandamizi wa chama hicho. Picha na Mpigapicha Wetu
Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (Taffa), Stephen Ngatunga (kushoto), akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na njia zinazotumika kuiba mapato ya...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Ripoti yaibua mapya ujangili meno ya tembo