Tarehe ya Kura ya Maoni yaibua mapya
Kauli ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema kwamba kura ya maoni kupitisha Katiba Inayopendekezwa itafanyika Machi 30 mwakani, imeelezwa na wanaharakati, wasomi, wanasiasa na viongozi wa dini kuwa ni mwendelezo wa kauli zinazokinzana zinazotolewa na viongozi mbalimbali wa Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
9 years ago
MichuziTAFFA YAIBUA MAPYA YA UTOROSHAJI WA KONTENA
Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (Taffa), Stephen Ngatunga (kulia), akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na njia zinazotumika kuiba mapato ya serikali bandarini na katika Idara ya Forodha, Jijini Dar es Salaam jana. kushoto ni maofisa waandamizi wa chama hicho. Picha na Mpigapicha Wetu
Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (Taffa), Stephen Ngatunga (kushoto), akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na njia zinazotumika kuiba mapato ya...
10 years ago
Habarileo16 Jul
Mauaji Stakishari yaibua mapya Polisi
JESHI la Polisi nchini jana liliwaaga kwa heshima zote za kijeshi askari wake wawili kati ya wanne waliouawa wakiwa katika kituo cha kazi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, huku likiahidi kufanya mapinduzi kadhaa ya kiutendaji.
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Ripoti yaibua mapya ujangili meno ya tembo
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Ajali ya moto iliyoua watu sita Kipunguni yaibua mapya
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Pangua pangua Maliasili yaibua mapya
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Maoni ya Watanzania kuhusu kura za maoni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s72-c/jerry.jpg)
wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s640/jerry.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u5eLO9o9QZQ/Vb-To2dTbaI/AAAAAAABTFQ/Ym8hr02Xc08/s640/maxresdefault.jpg)