Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Colonel Mustafa Ft Brown Mauzo — Panga Pangua

Msanii kutoka Kenya Colonel Mustafa ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “Panga Pangua” amemshirikisha Brown Mauzo video imeongozwa na Ogopa Video. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Panga pangua ya wabunge CCM

NAPE2Na Bakari Kimwanga, Dodoma

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekamilisha uteuzi wa wagombea ubunge wa majimbo na viti maalumu, huku baadhi ya wagombea walioshinda kwenye kura za maoni wakiachwa na kuchukuliwa walioshika nafasi ya pili na ya tatu.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema kukamilika kwa kazi hiyo kunatoa fursa kwa wana CCM kujipanga na kuhakikisha wanarudisha umoja na mshikamano ili chama kiweze kushinda uchaguzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Panga pangua Ma-Dc: shabani Kisu, Mwakalebela, Makonda waula

Rais Jakaya Kikwete ametengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12 na kuwateua wengine 27, akiwamo aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Zelothe Stephen na mjumbe wa Bunge la Katiba, Paul Makonda ambaye aliingia kwenye mzozo na mawaziri wakuu wawili wa zamani.

 

10 years ago

SDE Entertainment News

"CID agents with guns were forcing me to 'confess'" Rapper Colonel Mustafa ...


SDE Entertainment News
"CID agents with guns were forcing me to 'confess'" Rapper Colonel Mustafa ...
SDE Entertainment News
Colonel Mustafa spent a better part of Friday in questioning at the Criminal Investigation Division offices. This is after CID officers arrested the rapper in his studios as he worked on a video that he has been planning to release. His arrest he said, was ...
Mustafa Reveals Why He Was Arrested By PoliceCitizen News

all 3

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF

>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.

 

11 years ago

GPL

PANGUA PANGUA YA JK; WAZIRI AONEKANA KWA SANGOMA

Stori: Na Mwandishi Wetu
MACHAFUKO yanayoendelea ndani ya Baraza la Mawaziri, ni wazi yanawaweka waheshimiwa wengi katika wakati mgumu ambapo Jumapili iliyopita, Uwazi lilimnasa mmoja wa mawaziri (jina tunalo), kwenye nyumba ya sangoma aliyefahamika kwa jina moja la Bwehe, Kijiji cha Mlingotini, Bagamoyo, Pwani. Habari zinadai waziri huyo alikwenda kwa Bwehe ili kufanyiwa madongoloji (nguvu za giza), lengo kuu likiwa kuimarisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Pangua pangua Maliasili yaibua mapya

Wiki moja baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kupangua wakurugenzi wizarani hupo, baadhi ya askari wa wanyamapori wameibuka na kupinga uamuzi huo, huku wakitishia kufanya mgomo.

 

9 years ago

MillardAyo

Ni video juu ya video, Chris Brown anaisogeza ‘Anyway’ feat. Tayla Parx – (Video)!

Kwa siku ya tatu mfululizo staa wa muziki Chris Brown amekuwa akizisogeza videos kutoka kwenye album yake mpya, Royalty… jana December 16 2015 staa huyo aliileta kwetu Wrist kwenye video na leo C Breezy anaisogea kwetu ‘Anyway’ pembeni akiwa na mrembo Tayla Parx. ‘Anyway’ ni single ya tatu kutoka kwenye album mpya ya Chris Brown […]

The post Ni video juu ya video, Chris Brown anaisogeza ‘Anyway’ feat. Tayla Parx – (Video)! appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani