Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yadaiwa kutumia migogoro kujiimarisha

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimezidi kujizolea viti vya udiwani kata mbalimbali ikiwamo Ludewa, Tarafa ya Kimamba, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro na Mkongoro, Wilaya ya Kigoma, mkoani Kigoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

DNA yadaiwa kuepusha migogoro katika mahusiano:

Kukiwa kumekidhiri kwa migogoro mingi miongoni mwa wanafamilia kutokana na utambuzi wa watoto Jamii imetakiwa kujijengea mazoea ya kupima vinasaba ili kuondoa tatizo la migogoro ya familia inayojitokeza katika utambuzi wa mahusiano ya vinasaba kati ya watoto na wazazi.

Sehemu kubwa ya wanajamii wanadaiwa kujijengea mazoea ya kupima vinasaba pale wanapokuwa hawana uhakika na uhalali wa baadhi ya watoto katika ndoa zao.

 

Mkemia Mkuu wa Serikali na Mkuu wa kitengo cha DNA Segumba amesema...

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yadaiwa kutumia gesi ya sumu Syria

Ripoti kutoka kaskazini mwa Syria, zinasema kuwa wapiganaji wa Islamic State, wametumia gesi ya sumu kuwashambulia askari wa Kikurd.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafugaji, hifadhi watakiwa kutumia vikao kumaliza migogoro

Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Mahmoud Kambona amewataka wafugaji wa Kata ya Loiborsiret wanaoishi kando ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na pori la akiba la Mkungunero, kutumia mazungumzo na vikao ili kumaliza mgogoro wa mpaka badala kutumia nguvu.

 

11 years ago

Mwananchi

Tawla kutumia wanasheria 400 kutatua migogoro ya ardhi vijijini

>Kila kukicha kumekuwa na kesi za migogoro ya ardhi, mirathi na hata kesi za wazazi kuozesha watoto wao yaani mimba za utotoni na ndoa za utotoni na hii ni changamoto kubwa inayoikabili nchi kwa sasa.

 

11 years ago

Michuzi

FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

 

10 years ago

Habarileo

Kamati Kuu CCM kujadili migogoro ya ardhi Karagwe

TATIZO la migogoro ya ardhi, ukiwamo wa ranchi ya Kitengule, wilayani hapa, linatarajiwa kufikishwa katika Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kutafutiwa ufumbuzi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Siasa za Tazania: Je, CCM wana uwezo gani wa kuhimili migogoro?

Vigogo watatu wa CCM Bernard Membe, Yusuf Makamba na Abdulrahman Kinana kwa sasa wapo kwenye 'kitimoto'

 

10 years ago

Mwananchi

CCM kutumia panga la 2005

Vigezo 13 vilivyowekwa na CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2005 kumpima mwanachama anayefaa kugombea urais, ndivyo vitakavyotumika kuwaengua makada wanaoendelea kujitokeza kuwania nafasi hiyo mwakani, imefahamika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meza yazidi kujiimarisha

TIMU ya taifa ya mpira wa meza iliyoweka kambi nchini China, imezidi kuongezewa mashindano ya kujipima nguvu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mmoja wa wachezaji wanaounda timu hiyo, Amon Tumaini, alisema katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani