Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meza yazidi kujiimarisha

TIMU ya taifa ya mpira wa meza iliyoweka kambi nchini China, imezidi kuongezewa mashindano ya kujipima nguvu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mmoja wa wachezaji wanaounda timu hiyo, Amon Tumaini, alisema katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YANGA YAZIDI KUJIIMARISHA NA KAGAME

Mshambuliaji mpya wa Yanga kutoka timu ya Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma, akionesha umahiri wake wa kuchezea mpira kwenye mazoezi hayo. KIKOSI cha Yanga leo kimeendelea kujiimarisha kwa ajili ya michuano ya Kombe la Kagame ambayo inatarajiwa kutimua vumbi jijini Dar es Salaam hivi karibuni.... HABARI NA PICHA ZAIDI===>http://bit.ly/1LW0xeT

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yazidi kujiimarisha kiulinzi-Kikwete

Rais Jakaya Kikwete amesema Tanzania imezidi kujiimarisha kiulinzi baada ya kuanza kuwasomesha maofisa wake hapa nchini, ambao awali walikuwa wakienda kusoma nje ya nchi.

 

11 years ago

Michuzi

HIFADHI YA TAIFA YA KITULO MAKETE YAZIDI KUJIIMARISHA ZAIDI

 Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akiangalia maporomoko ya maji yaliyopo kwenye hifadhi ya Taifa ya Kitulo.=======Hifadhi ya Taifa ya Kitulo iliyopo wilayani Makete mkoani Njombe imejipanga vilivyo kuongeza vivutio vipya vya utalii hifadhini humo pamoja na kuboresha miundombinu ya barabara na njia za kupita watalii ili wafurahie vivutio vilivyopo hifadhini humo. Akizungumza mbele ya kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Makete iliyofanya ziara hifadhini humo, Kaimu mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM yaandaa mkakati kujiimarisha

JUMUIYA  ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi  (UVCCM) Wilaya ya Kibaha Mjini, kwa kushirikiana na makatibu 11 wa kata zote wilayani hapa, wameandaa mpango mkakati wa kuimarisha uhai wa jumuiya...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yadaiwa kutumia migogoro kujiimarisha

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimezidi kujizolea viti vya udiwani kata mbalimbali ikiwamo Ludewa, Tarafa ya Kimamba, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro na Mkongoro, Wilaya ya Kigoma, mkoani Kigoma.

 

9 years ago

Michuzi

Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Prof. Makame Mbarawa amezungumzia umuhimu wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...

 

10 years ago

Dewji Blog

TREVO yaendelea kujiimarisha Tanzania, watu mbalimbali wafaidika

MMGL0865

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Bidhaa  ya TREVO yenye virutubisho vya asili zaidi ya 174, bidhaa kutoka nchini Marekani iliyotengenezwa kwa kuzingatia kanuni bora za afya na kufikia uthibitisho wa hali ya juu  imeendelea kujiimarisha katika mzunguko wa soko hapa nchini huku watu mbalimbali wakinufaika nayo ikiwemo matumizi ya kiafya pamoja na kukuza soko la mitaji kwa wasambazaji wake.

Kwa mujibu wa Msambazaji wa bidhaa za Trevo Tanzania, Kemi Bubelwa alieleza kuwa, Formula hiyo ya TREVO...

 

5 years ago

Michuzi

VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi aina ya Tenera unaozalishwa katika shamba la Wakala wa Mbegu (ASA) kituo cha Bugaga wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma hivi leo.  (Habari na Picha Wizara ya Kilimo) .

Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
Katibu ...

 

11 years ago

Mwananchi

Sekta binafsi yalilia mitaji ya masharti nafuu ili kujiimarisha

Wafanyabiashara wadogo na wa kati wamekuwa katika wakati mgumu wa kupanua biashara zao kutokana na taasisi za fedha kutoa mitaji ya muda mfupi kwa ajili ya kuendesha biashara badala ya kutoa mitaji ya muda mrefu yenye masharti nafuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani