Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA DK. MWIGULU, ASISITIZA WANANCHI KUACHA HOFU DHIDI YA CORONA, KUAGIZA DAWA YA TIBA MADAGASCAR

Ikuku, Chato
Rais  Dk. John Magufuli leo 03 Mei 3, 2020 amemuapisha Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Chato Mkoani Geita.

Rais Magufuli amemtaka Nchemba kuendeleza kazi nzuri iliyofanywa na mtangulizi wake Marehemu Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga aliyefariki dunia tarehe 01 Mei, 2020 na pia kushirikiana na viongozi wenzake katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya Serikali.

“Nimekuteua kwa mara ya pili kwa sababu naamini unaweza kutekeleza jukumu hili vizuri, na...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Habari za kupotosha dhidi ya Rais Magufuli, Ummy Mwalimu na 'tiba' ya Madagascar

Huku idadi ya wagonjwa wa corona ikizidi kuongezeka katika mataifa ya Afrika, habari za kupotosha zinaendelea kusambazwa katika mitandao ya kijamii.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Senegal yakanusha kuagiza dawa ya mitishamba kutoka Madagascar

Senegali imekanusha madai kwamba imeagiza kile ambacho kinasemekana ni dawa ya virusi vya corona huko Madagascar

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Madagascar adai kupata tiba ya corona

WHO inasema hakuna ushahidi wa kisayansi wa ubora wa kinywaji hicho cha mitishamba.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI: SERIKALI HAITAWAFUNGIA WANANCHI MAJUMBANI WALA KULIFUNGA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SABABU YA CORONA, ASISITIZA WATU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI HUKU WAKICHAPA KAZI

Rais Dk. Magufuli akizungumza leoKULU, Chato.
Rais Dk. John Magufuli amesema Serikali haitawafungia wananchi majumbani (lockdown) wala kulifunga Jiji la Dar es Salaam ili kuepusha madhara makubwa yanayoweza kuwakumba wananchi na kuathiri uchumi wa nchi, na ametaka Watanzania kuondoa hofu, kuendelea kuchukua tahadhari huku wakiendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa.

“Tuwaondoe hofu wananchi, sio ugonjwa huu pekee unaosababisha vifo kwa wananchi, na sio kila anayepoteza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba

Rais wa Madagascar Rajoelina amesema kwamba wakosoaji wa dawa ya mitishamba kutoka taifa hilo wanaikosoa kwasababu ya ubwenyenye

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waziri wa elimu afukuzwa kazi Madagascar kwa kuagiza pipi za dola milioni 2

Raijasoa Andriamanana alisema wanafunzi watapewa pipi za kijiti ili kuondoa ladha chungu ya dawa ya corona.

 

5 years ago

Michuzi

RC TANGA AWATAKA WANANCHI TANGA KUACHA HOFU,BADALA YAKE WAENDELEE KUCHUKUA HATUA YA KUJIKINGA NA CORONA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela akiwa katika moja ya vikao vyake vya mara kwa mara vinavohusiana na mapambano dhidi ya Corona, Pichani akiwaonesha Wajumbe Vazi Maalumu la Wataalamu wanaohudumia wagonjwa wa COVID-19 Mkoani Tanga.
Aidha amesema kuwa serikali imeendelea kujidhatiti na kufanya kazi kwa ushirikiano katika kipindi hiki pia kuhakikisha inawajali sana na kuwapa kipaumbele wataalamu wa Afya.

Zaidi amewaomba wana Tanga kuacha hofu kama anavyosisitiza Raisi wetu wa Dk.John Pombe...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , ,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani