Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi hauzwi, asema Bartomeu

Mshambulizi matata wa klabu ya Barcelona Lionel Messi hatauzwa, amesema rais wa kilabu hiyo Josep Maria Bartomeu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Latest News In Nigeria &Amp; Breaking Naija News 24/7 | LEGIT.NG

Barcelona president Bartomeu drawing up €150m contract offer for Lionel Messi

Barcelona president Bartomeu drawing up €150m contract offer for Lionel Messi  Latest News in Nigeria & Breaking Naija News 24/7 | LEGIT.NGLa Liga 2019/20: Barcelona vs Real Sociedad – tactical analysis  Football Bloody HellGolden Shoe 2019-20: Top Goalscorers in Europe  Haitian TimesBarcelona trolls Ronaldo as Messi overtakes him on all-time highest scorer list  Latest News in Nigeria & Breaking Naija News 24/7 | LEGIT.NGMessi Overtakes Ronaldo As The All-Time Record Goalscorer In Europe's...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Messi asema alihofia Argentina kutolewa

Lionel Messi amesema alikuwa akihofia Argentina kutolewa katika hatua ya timu 16 ya fainali za Kombe la Dunia, kabla ya kumpa pasi safi Angel Di Maria ya bao pekee la ushindi dhidi ya Uswisi juzi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Barcelona 5-0 Eibar: Braithwaite asema hatoosha tishati yake baada ya kumkumbatia Lionel Messi

Mchezaji aliyesajiliwa kwa sababu za dharura katika klabu ya Barcelona Martin Braithwaite alimsaidia Messi kufunga Hatrick Eibar.

 

9 years ago

Habarileo

Kavumbagu hauzwi- Hall

KOCHA wa Azam FC Stewart Hall amesema hatarajii kumuuza Didier Kavumbagu katika timu yoyote ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa bado ni tegemeo lao.

 

10 years ago

Mwananchi

Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.

Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...

 

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani