Pochettino majanga, Mourinho kicheko
ABDUCADO EMMANUEL NA MITANDAO
DIMBA la White Hart Lane linatarajia kuwaka moto kesho saa 9.00 alasiri kwa mchezo wa watani wa jadi wa jiji la London ‘London Derby’, wakati wenyeji Tottenham Hotspur watakapoikaribisha Chelsea katika Ligi Kuu England.
Kuelekea mchezo huo, Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino, ameanza kuuona mgumu kufuatia timu yake kutopata muda mwingi wa kujiandaa ukilinganisha na Chelsea.
“Tunakabiliana na timu ngumu, katika hali hii Chelsea ambayo inazo siku tatu zaidi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 04.03.2020: Bellingham, Kane, Mourinho, Pochettino, Zidane, Sanchez, Rakitic
11 years ago
BBCSwahili28 May
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.
Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...
10 years ago
Habarileo14 May
Bajeti ya kicheko Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016 huku ikiimarisha na kuongeza kodi katika vyanzo vya mapato kutokana na washiriki wa maendeleo kupunguza misaada yao ya kibajeti.
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Kicheko kwa wajasiriamali Dodoma
11 years ago
Mwananchi17 Mar
CCM kicheko matokeo ya Kalenga
5 years ago
BBCSwahili23 May
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 23.05.2020: Coutinho, Willian, Haaland, Sancho, Pochettino, Kavertz
9 years ago
Mwananchi21 Dec
CUF kicheko Masasi, CCM Ludewa
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumatano 11.03.2020: Lacazette, Werner, Mbappe, Bellingham, Sidibe, Doku, Pochettino