Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF kicheko Masasi, CCM Ludewa

Wakati CUF ilionekana kuongoza katika vituo vya awali kwenye uchaguzi wa ubunge Jimbo la Masasi, CCM imeonekana kuamba katika hatua hiyo katika uchaguzi mwingine kama huo Jimbo la Ludewa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

CCM kidedea Masasi, Ludewa

Mgombea ubunge wa Masasi (CCM), Chuachua Rashid ameshinda kwa kupata kura 16, 597 dhidi ya mgombea wa CUF, Ismail Makombe ‘Kundambanda’ aliyepata kura 14, 069.

 

9 years ago

Habarileo

CCM washinda ubunge Masasi, Ludewa wanukia

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kutamba katika chaguzi ndogo baada ya kushinda katika Jimbo la Masasi mkoani Mtwara huku ikiwa na kila dalili ya kutangazwa mshindi Ludewa mkoani Njombe.

 

9 years ago

IPPmedia

Masasi, Ludewa voting today in by-elections


Masasi, Ludewa voting today in by-elections
IPPmedia
Residents of Masasi Urban and Ludewa constituencies will today cast their votes for candidates of a parliamentary seat, following the cancellation of the parliamentary poll for two constituencies by the National Electoral Commission (NEC) during the ...

 

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

Stage set for Masasi, Ludewa parliamentary elections


Stage set for Masasi, Ludewa parliamentary elections
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
AS residents of Masasi and Ludewa constituencies prepare to elect their members of parliament today, the National Electoral Commission (NEC) has called on political party leaders to refrain from interfering with the voting exercise. View Comments. The ...

 

9 years ago

TheCitizen

Masasi Urban, Ludewa to elect MPs today

Residents of Masasi Urban and Ludewa constituencies will today vote to elect members of Parliament after election in their areas were postponed following the deaths of candidates.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Masasi Urban, Ludewa to Elect MPs Today


Tanzania: Masasi Urban, Ludewa to Elect MPs Today
AllAfrica.com
Dar es Salaam — Residents of Masasi Urban and Ludewa constituencies will today vote to elect members of Parliament after election in their areas were postponed following the deaths of candidates. The National Electoral Commission (NEC) postponed the ...

 

9 years ago

Global Publishers

Majimbo ya Masasi Mjini na Ludewa kufanya uchaguzi kesho

PICHA 1Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva akitangaza taarifa ya Upigaji kura kwa Majimbo ya Masasi Mjini na Jimbo la Ludewa kesho Jumapili, Desemba 20, 2015 mara alipokutana na Waandishi wa Habari leo 19 Desemba, 2015 katika Ukumbi wa Tume uliopo Jijini Dar es Salaam.PICHA 3.Jaji  Lubuva (kushoto) akifafanua kuhusu taarifa aliyoitoa iliyohusu Upigaji kura kwa Majimbo ya Masasi Mjini na Jimbo la Ludewa, kulia ni Mkurugenzi wa Uhcgauzi wa Tume hiyo BwanaKailima Ramadhani.PICHA 4

 

9 years ago

Michuzi

NEC yatangaza Majimbo ya Masasi Mjini na Ludewa kufanya uchaguzi tarehe 20 Desemba, 2015

Na Joseph Ishengoma, MAELEZO

Majimbo ya Masasi Mjini mkoani Mtwara na Ludewa mkoani Njombe yanatarajia kufanya uchaguzi wa wabunge kesho (20.12.2015) ili kuwapata viongozi watakaoongoza majimbo hayo kwa kipindi cha miaka mitano.

Majimbo hayo hayakufanya uchaguzi tarehe 25.10.2015 kutokana na baadhi ya wagombea katika majimbo hayo kufariki dunia.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Damiani Lubuva amewasihi wananchi kujitokeza na kupiga kura kwa amani na utulivu. Jaji Lubuva amesema...

 

9 years ago

TheCitizen

CUF candidate rejects results of Masasi poll

The defeated CUF candidate for Masasi parliamentary seat Mr Ismail Makombe has refused to concede defeat saying the election was marred by irregularities.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani