CUF kicheko Masasi, CCM Ludewa
Wakati CUF ilionekana kuongoza katika vituo vya awali kwenye uchaguzi wa ubunge Jimbo la Masasi, CCM imeonekana kuamba katika hatua hiyo katika uchaguzi mwingine kama huo Jimbo la Ludewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
CCM kidedea Masasi, Ludewa
9 years ago
Habarileo22 Dec
CCM washinda ubunge Masasi, Ludewa wanukia
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kutamba katika chaguzi ndogo baada ya kushinda katika Jimbo la Masasi mkoani Mtwara huku ikiwa na kila dalili ya kutangazwa mshindi Ludewa mkoani Njombe.
9 years ago
IPPmedia20 Dec
Masasi, Ludewa voting today in by-elections
IPPmedia
Residents of Masasi Urban and Ludewa constituencies will today cast their votes for candidates of a parliamentary seat, following the cancellation of the parliamentary poll for two constituencies by the National Electoral Commission (NEC) during the ...
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)20 Dec
Stage set for Masasi, Ludewa parliamentary elections
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
AS residents of Masasi and Ludewa constituencies prepare to elect their members of parliament today, the National Electoral Commission (NEC) has called on political party leaders to refrain from interfering with the voting exercise. View Comments. The ...
9 years ago
TheCitizen20 Dec
Masasi Urban, Ludewa to elect MPs today
9 years ago
AllAfrica.Com21 Dec
Tanzania: Masasi Urban, Ludewa to Elect MPs Today
AllAfrica.com
Dar es Salaam — Residents of Masasi Urban and Ludewa constituencies will today vote to elect members of Parliament after election in their areas were postponed following the deaths of candidates. The National Electoral Commission (NEC) postponed the ...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Majimbo ya Masasi Mjini na Ludewa kufanya uchaguzi kesho
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva akitangaza taarifa ya Upigaji kura kwa Majimbo ya Masasi Mjini na Jimbo la Ludewa kesho Jumapili, Desemba 20, 2015 mara alipokutana na Waandishi wa Habari leo 19 Desemba, 2015 katika Ukumbi wa Tume uliopo Jijini Dar es Salaam.
Jaji Lubuva (kushoto) akifafanua kuhusu taarifa aliyoitoa iliyohusu Upigaji kura kwa Majimbo ya Masasi Mjini na Jimbo la Ludewa, kulia ni Mkurugenzi wa Uhcgauzi wa Tume hiyo BwanaKailima Ramadhani.
9 years ago
MichuziNEC yatangaza Majimbo ya Masasi Mjini na Ludewa kufanya uchaguzi tarehe 20 Desemba, 2015
Majimbo ya Masasi Mjini mkoani Mtwara na Ludewa mkoani Njombe yanatarajia kufanya uchaguzi wa wabunge kesho (20.12.2015) ili kuwapata viongozi watakaoongoza majimbo hayo kwa kipindi cha miaka mitano.
Majimbo hayo hayakufanya uchaguzi tarehe 25.10.2015 kutokana na baadhi ya wagombea katika majimbo hayo kufariki dunia.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Damiani Lubuva amewasihi wananchi kujitokeza na kupiga kura kwa amani na utulivu. Jaji Lubuva amesema...
9 years ago
TheCitizen22 Dec
CUF candidate rejects results of Masasi poll